Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
Baada ya bodi ya mfuko wa pensheni kwa watumishi wa umma[PSPF] kumfuta kazi mkurugenzi wa uendeshaji bwana Patrick Mongela[mtoto wa mama Getruda Mongela]kwa tuhuma za ufisadi,ufuska na uchonganishi,Mongela njaa imeshaanza kumuuma sasa anahaha ikulu kwa katibu kiongozi akibembeleza amsaidie arejeshwe kazini na tayari amefungua kesi kukata rufaa..