Berlin na Nairobi (RIP) I'm attracted kwa wanaokufa naona. These two guys hawana mzaa mzaa, full of confidence na wakiwa kwenye team motisha inakua juu, sometimes they act like they don't care ila deep inside they do.
Arturito anakera balaa.
Berlin died, yaani zile risasi alizomiminiwa there's no way atapona hata story waipindishe vipi.Kuna speculations huko kuwa Berlin hajafa, na wanasema huyu alicia mama kijacho ndo yule mke wa Berlin ambaye walifunga naye ndoa wakiwa Italia. Hebu fikiria season 4 hii ndoa ya Berlin wanaipa airtime ya kutosha, kuna dots za kuunganisha hapo
Season 5 ina majibu ya maswali mengi sema corona ndo itaichelewesha tu.
Berlin died, yaani zile risasi alizomiminiwa there's no way atapona hata story waipindishe vipi.
Em angalia kifo cha jamaa alafu niambie atapona vipi
Berlin died, yaani zile risasi alizomiminiwa there's no way atapona hata story waipindishe vipi.
Em angalia kifo cha jamaa alafu niambie atapona vipi
Berlin yupo kama joker..Hakurupuki wala hahofu katika maamuzi yake
. Mbona noma sanaKuna speculations huko kuwa Berlin hajafa, na wanasema huyu alicia mama kijacho ndo yule mke wa Berlin ambaye walifunga naye ndoa wakiwa Italia. Hebu fikiria season 4 hii ndoa ya Berlin wanaipa airtime ya kutosha, kuna dots za kuunganisha hapo
Season 5 ina majibu ya maswali mengi sema corona ndo itaichelewesha tu.