Monduli: Waziri Jumaa Awezo akuta maji hayatoki kisa Sh. elfu 50, amtumbua Meneja mbele ya Wananchi

WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amefanya ziara ya kikazi katika wilaya ya Monduli mkoani Arusha na kukuta wananchi hawapati maji kutokana na changamoto mbali mbali hali iliyopelekea kuchukua hatu ya kumsimamisha kazi Meneja wa mradi wa maji wa RUWASA Nevill D. Msaki.

View attachment 1704490
Wow beautiful,tunataka viongozi kama hawa,hakuna kuremba.Aweso hongera sana.
 
Ukweli kuna watu sijui tuseme ni dharau,au kuridhika!!! tusiseme mengi,anastahili kupata alicho pata.yaani ni zaidi ya uzembe na uvivu.
Halafu kajinenepea wala hana wasi wasi,ovyo sana.Awezo tumbua baba tumbua.
 
Back
Top Bottom