Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,372
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana ! Hakika kila linalotokea halitokei kwa bahati mbaya , Kuondoka kwa msaliti Kalanga kumetoa nafasi ya kishindo kikubwa sana kulipuka Monduli
Karibu sana Mkuu .Vitu vingine bhana
Karibu sana Monduli mkuuMbowe ni dikteta kama madikteta wengine.
Bahati yake watanzania wameshaichoka CCM lakini pia wamemchoka Mbowe zaidi.
wanajisumbua tu hilo ni kama wanaenda bonanza ccm ushindi daima mtaisoma namba kwa sanaaaa