Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,080
- 8,219
Huwa anajifanya mwanaharakati sana huyo dada, ila hata huwa hasomeki anasimamia nini haswaUsilolijua na la kukushangaza zaidi, siku moja utamkuta kajaa tele ndani ya CCM!
Hapo ACT ni kituo tu cha kuelekea huko.