Mombasa yatarajia kupata mabilioni baada ya uzinduzi wa meli ya uvuvi

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,528
47,775
Gatuzi la Mombasa limejiandaa kupokea mabilioni kutokana na uvuvi, hii ni baada ya wao kuzindua meli yenye uwezo wa kuvua samaki tani 40,000 kwa mwezi.

Kawaida tumezoea kuona meli za kigeni zikivua samaki maeneo ya ndani ya bahari, sasa Mombasa nao wamethubutu, wamezindua meli yao (deep sea vessel) itakayokua inasafiri hadi kule ndani tofauti na boti za wavuvi wa kawaida ambazo huishia maeneo ya karibu karibu.

Wachina huingia humo na meli zao kubwa wanavua aina nyingi za samaki, sasa sisi wenyewe tunakwenda huko huko hadi kieleweke. Hongera Mombasa county 001, hongera Kenya, Africa hoyee.

Mombasa angles for fishing billions with launch of deep-sea vessel
 
Gatuzi la Mombasa limejiandaa kupokea mabilioni kutokana na uvuvi, hii ni baada ya wao kuzindua meli yenye uwezo wa kuvua samaki 40,000 kwa mwezi.

Kawaida tumezoea kuona meli za kigeni zikivua samaki maeneo ya ndani ya bahari, sasa Mombasa nao wamethubutu, wamezindua meli yao (deep sea vessel) itakayokua inasafiri hadi kule ndani tofauti na boti za wavuvi wa kawaida ambazo huishia maeneo ya karibu karibu.

Wachina huingia humo na meli zao kubwa wanavua aina nyingi za samaki, sasa sisi wenyewe tunakwenda huko huko hadi kieleweke. Hongera Mombasa county 001, hongera Kenya, Africa hoyee.

Mombasa angles for fishing billions with launch of deep-sea vessel
Wewe jamaa samaki 40000
Ndio nini? Au ndio mambo ya elimu zetu mbovu
 
Kwa kukurupuka hamjambo, mbona usifuate taarifa kamili upate uelewa wa kina. Nimeandika kwa haraka na kusahau kuongea neno 'tani', sasa hilo ndio mnakeshea....hehehe nyie bana ni shughuli.
Wengi wa Wanaosoma studies huishia kwenye abstract,
Sasa unasoma abstract tu inakuwa mbovu kama ulivyoandika wewe..
huko ndani unategemea ukute nini? Huwa siendelei kabisa nikikutana na upuuzi kwenye tittle . (*****)

Ulikurupuka na hukujua unaandika scientific thing,
sikulaumu maana najua uelewa wako kwenye masuala ya fisheries ni mdogo..
Umejaribu kusumerize sana kumbe hukuwa na uelewa japo wa kuelewa how do they measure fish catch .
Kelele mingi kichwani mweupe.
 
Wengi wa Wanaosoma studies huishia kwenye abstract,
Sasa unasoma abstract tu inakuwa mbovu kama ulivyoandika wewe..
huko ndani unategemea ukute nini? Huwa siendelei kabisa nikikutana na upuuzi kwenye tittle . (*****)

Ulikurupuka na hukujua unaandika scientific thing,
sikulaumu maana najua uelewa wako kwenye masuala ya fisheries ni mdogo..
Umejaribu kusumerize sana kumbe hukuwa na uelewa japo wa kuelewa how do they measure fish catch .
Kelele mingi kichwani mweupe.
st kayumba mnajulikana tu, blah blah blah nyingi lakini uelewa ni zerooo0000, ndio maana mnaishia kukomalia typos..jiunge na wenzako hapa ndio mnachoweza!
1480535115959.jpg
 
Wengi wa Wanaosoma studies huishia kwenye abstract,
Sasa unasoma abstract tu inakuwa mbovu kama ulivyoandika wewe..
huko ndani unategemea ukute nini? Huwa siendelei kabisa nikikutana na upuuzi kwenye tittle . (*****)

Ulikurupuka na hukujua unaandika scientific thing,
sikulaumu maana najua uelewa wako kwenye masuala ya fisheries ni mdogo..
Umejaribu kusumerize sana kumbe hukuwa na uelewa japo wa kuelewa how do they measure fish catch .
Kelele mingi kichwani mweupe.

Hehehe sasa uliambiwa nipo huku kuandika studies, hiyo ni taarifa imeandikwa tayari, nilichofanya ni kukutafsiria na kusahau kuongeza neno 'tani' ambalo lipo kwenye taarifa yenyewe. Anyway kwa kifupi punguza mihemko, meli hiyo itakua inavua tani 40,000 kwa mwezi, tena kule deep sea ambapo huwa hatuendi.

Wachina wamezoea kuja kuvua wao, walivua hapo Bongo mkawanzigua kwa kiherehere chenu, leo hii mumeamrishwa kuwalipa trillions.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom