Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

Sultani wa Zanzibar? hivi hawajui kuwa Zanzibar hakuna Sultani kuanzia 1964?

Mkuu hii chokochoko huenda ina mizizi mikubwa. Wanaporejea kuwa chini ya Sultan wa Zanzibar wana maana ya ile maili kumi ya pwani ya Afrika mashariki yaani Mombasa na ukanda wote huu (DSM inclusive) ambao kiutamaduni na kiimani walikuwa na mahusianio makubwa na Zanzibar hivyo wakawa chini ya Sultan kiutawala pia.

Kwa maana nyingine ni kwamba hawa Mombasa Republican Council wanataka waturudishe kwenye ule mkataba wa Sultan na Waingereza ili Pwani yote iwe independent na huenda iungane na Zanzibar baada ya Zanzibar kujitoa kwenye muungano wetu!

Jamani hamuoni kwamba na huko Zanzibar kuna vuguvugu la kuua Muungano? Kalagha baho.
 
Mkuu hii chokochoko huenda ina mizizi mikubwa. Wanaporejea kuwa chini ya Sultan wa Zanzibar wana maana ya ile maili kumi ya pwani ya Afrika mashariki yaani Mombasa na ukanda wote huu (DSM inclusive) ambao kiutamaduni na kiimani walikuwa na mahusianio makubwa na Zanzibar hivyo wakawa chini ya Sultan kiutawala pia.

Kwa maana nyingine ni kwamba hawa Mombasa Republican Council wanataka waturudishe kwenye ule mkataba wa Sultan na Waingereza ili Pwani yote iwe independent na huenda iungane na Zanzibar baada ya Zanzibar kujitoa kwenye muungano wetu!

Jamani hamuoni kwamba na huko Zanzibar kuna vuguvugu la kuua Muungano? Kalagha baho.

Ndo nimepata picha hivi wale wajuzu wanaojiita kikundi cha uwamsho si ndo sawa na hawa wa pwani ya Kenya
 
Sultani wa Zanzibar? hivi hawajui kuwa Zanzibar hakuna Sultani kuanzia 1964?
Mkuu MKJJ inawezekana wewe na mimi ndio tunaojua Zanzibar hakuna Sultani ila wao wanajua bado yupo na hata kama haonekani wanajua wapi watamtoa. Nakwambia hili vuguvugu endapo viongozi wetu hawatachukua effective measures linaweza kuja kusumbua kwenye EAC mpya, labda hope inabaki kuwa EAC itakapo kuwa in place hoja yao inawezakufa automatically.
 
Ndo nimepata picha hivi wale wajuzu wanaojiita kikundi cha uwamsho si ndo sawa na hawa wa pwani ya Kenya

Mkuu dosama haya mambo yamewekwa mbele ya macho yenu lakini hamuyaoni! Kuna movement (vuguvugu) hapa. What a coincidence ya MRC na Vuguvugu la Zanizbar? Mambo yana mizizi haya.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu dosama haya mambo yamewekwa mbele ya macho yenu lakini hamuyaoni! Kuna movement (vuguvugu) hapa. What a coincidence ya MRC na Vuguvugu la Zanizbar? Mambo yana mizizi haya.

Fafafanua mkuu
 
Last edited by a moderator:
Eh! Kweli hatuna umoja. Kama mkenya anaweza kudai kwamba yeye ni Mzanzibari basi United Republic of Tanzania has gone na sasa tuna Tanganyika na Zanzibar lakini time is comming tutakuwa na Pemba, Unguja, Hehe, Buhaya, Chaggaland, Pare, Sukumaland, Nyakyusa Land, Maasai, Gogo nk kama independent teritories.

Watch out!!
 
wanataka kudai nchi then at the end waingie makubaliano ya kujiunga na zanzibar then zanzibar iwe nchi huru ya pwani kama enzi za sultan! ajenda ni kubwa huo ni mwanzo tu! wanadai hawafanani na watu wa kenya kila kitu culture, religion na appearance!
 
..eneo lau ni dogo sana na it doesnt make any sense kwao kuwa nchi huru.

..sababu hiyo, na the fact kwamba Kenya huru ilihitaji kuwa na access na bahari, ndizo zilizopelekea SULTANI wa Zanzibar KULIUZA eneo hilo kwa Kenya.

..sasa kama hawa wako makini, na wanataka kufuata sheria, na historia yao, basi wadai kuunganishwa na Zanzibar, lakini siyo kuwa nchi yao wenyewe.

NB:

..mimi siungi mkono kwa eneo hilo kujitenga na Kenya.

WanaJF yaelekea hamjawaelewa hawa jamaa MRC..... wanachodai si historia wala nini.... wanachodai ni mkate wa taifa..... miaka yote wamekuwa wakishuhudia Nairobi ikipewa fungu kubwa toka serikalini huku wenyewe wakiwa watazamaji tu, kana kwamba wenyewe si sehemu ya Kenya..... baada ya kuona hayo kwa muda mrefu sasa... ndiyo maana wanataka sasa kujitegemea.... maana hawaoni faida ya kuwa sehemu ya kenya. Nchi ina upendeleo... Mbali na rasilimali ilizonazo Mombasa hamna miradi yoyote ya maana ukiachilia mbali bandari.... lakini Nairobi ambayo haina kitu fedha zote za nchi zinawekezwa huko..... hata unaweza kuangalia hii post aliyoweka huyu bwana.. https://www.jamiiforums.com/international-forum/256381-middle-class-grows-in-kenya.html
 
mombasa ilikua sehemu ya zanzibar mpaka Mzee kenyatta alipoiomba kwa sultani wa zanzibar na akapewa kwa masharti maalum.wakenya wamesha vunja masharti sasa watake wasitake MOMBASA inawatoka,kenya walidhani ile fitna ya sudan na sudani kusini itaishia huko 2 kwa maslahi yao sasa nyoka kaingia kenya,mm nawashauri wawaachie 2 kwa amani kabla vita vya al shabaab havijahamia kenya kwa kushirikia na watu wa mombasa.
Wale wanaosema kuwa jambo hili ina mizizi mirefu ni kweli kwa sababu KULIKUWA NA NJAMA LA UIGAWA DOLA YA ZANZIBAR unguja na pemba wakachukua TANGANYIKA na mombasa wakachukua KENYA.sasa taa nyekundu imewaka moshi unafuka mombasa na zanzibar ya sasa inajipanga kujitoa katika muungano na tanganyika .yoyote anaedhani nguvu zitazima vuguvugu hili he/she has to wait big east africa war ambavyo kwa maoni yagu vyaweza chukua mrengo hatari wa kidini......

MTU MWENYE AKILI DAIMA HUFIKIRIA MWISHO NA MATOKEO YA MATENDO YAKE
 
WanaJF yaelekea hamjawaelewa hawa jamaa MRC..... wanachodai si historia wala nini.... wanachodai ni mkate wa taifa..... miaka yote wamekuwa wakishuhudia Nairobi ikipewa fungu kubwa toka serikalini huku wenyewe wakiwa watazamaji tu, kana kwamba wenyewe si sehemu ya Kenya..... baada ya kuona hayo kwa muda mrefu sasa... ndiyo maana wanataka sasa kujitegemea.... maana hawaoni faida ya kuwa sehemu ya kenya. Nchi ina upendeleo... Mbali na rasilimali ilizonazo Mombasa hamna miradi yoyote ya maana ukiachilia mbali bandari.... lakini Nairobi ambayo haina kitu fedha zote za nchi zinawekezwa huko..... hata unaweza kuangalia hii post aliyoweka huyu bwana.. https://www.jamiiforums.com/international-forum/256381-middle-class-grows-in-kenya.html
this is a dangerous form of thinking, Mombasa in itself is the second largest city in Kenya. Though with legitimate concerns, Nakuru,Kisumu,Kisii even Nairobi grapple with unemployment. Job creation is a community effort backed with govt incentives, not the govt to create jobs for people with no education and zeal to work. What is 'illigitimately' theres is a 16km strip that a Kalenjin from Kenya can run across in just under 2 hours, infact its a half marathon. The PPO has given the orders, any further MRC groupings ni Ushenzi that should be rounded up else such reckless remarks to support the outfit will lead to rise of other groupings elsewhere.....unemployment is everywhere and not unique to coast alone. Get this from a Kenyan and fellow blogger.
 
wanataka kudai nchi then at the end waingie makubaliano ya kujiunga na zanzibar then zanzibar iwe nchi huru ya pwani kama enzi za sultan! ajenda ni kubwa huo ni mwanzo tu! wanadai hawafanani na watu wa kenya kila kitu culture, religion na appearance!

Hawa kwa kweli kama ni mambo ya appearance, basi ni wale waarabu wa kibulushi ambao katika historia ya pwani, tangu wakati wa ukoloni, wana asili yao kutoka kule Oman na wakaja Uganda kwanza kabla ya kupata makazi yao pwani ya kenya. Wengi wao weupe kama wazungu! Tuseme ndo hawa hawa wanaomkosesha M7 usingizi kule UG? Hii ni kama njama ya kutafuta mbinu ya kulazimisha mfumo wa sharia. Kama nijuavyo mimi, ni kweli pwani ni a multi-cultural hub, lakini kushinikiza swala la udini ndio inaleta balaa.
 
this is a dangerous form of thinking, Mombasa in itself is the second largest city in Kenya. Though with legitimate concerns, Nakuru,Kisumu,Kisii even Nairobi grapple with unemployment. Job creation is a community effort backed with govt incentives, not the govt to create jobs for people with no education and zeal to work. What is illigitimately theres is a 16km strip that a Kalenjin from Kenya can run across in 2 hours, infact its a half marathon. The PPO has given the orders, any further MRC groupings ni Ushenzi that should be rounded up else such reckless remarks to support the outfit will lead to rise of other groupings elsewhere.....unemployment is everywhere and not unique to coast alone. Get this from a Kenyan and fellow blogger.

Nani anapaswa kuwaelimisha wananchi..... au kujenga mashule na miundombinu mingine.... I think you have the answer...
Please don't call your fellow countrymen uneducated, wavivu na washenzi..... otherwise..... this (MRC) will be worse than mungiki...
 
Nani asiyependa maisha mazuri? Ni basi tu kwa kuwa watz tuna roho za nidhamu ya uoga......a cheni roho za kishujaa zife zikipigania maisha bora.
 
[h=3]Mmoja auawa katika ghasia za kundi la MRC na polisi ya Kenya[/h]

368a21e51c1a5468216903a3645091ca.jpg

Bango la waandamanaji

Mtu mmoja amefariki dunia na wanachama wengine saba wa kundi linalotaka kujitenga eneo la pwani mwa Kenya la Mombasa Republican Council (MRC) baada ya kupigana na polisi nje ya Mahakama ya Sheria mjini Mombasa.


Mapigano hayo yalitokea baada ya polisi kuwazuia wanachama wa kundi hilo lililopigwa marufuku kuingia katika mahakama hiyo iliyokuwa ikisikiliza kesi inayohusu wanachama wa MRC.

Vijana wa kundi hilo linalotaka kujitenga pwani ya Kenya waliokuwa wamevaa tisheti zenye maandishi "Pwani si Kenya", walijaribu kuingia mahakamani kwa nguvu lakini wakazuiwa na polisi wa kuzuia ghasia.

435640277111c164291446a57c662c05.jpg

Kuta zilizochorwa na wafuasi wa MRC

Serikali ya Kenya imelipiga marufuku kundi hilo na imetangaza kwamba haitafanya mazungumzo na watu wanaotaka kujitenga.

Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga alisema jana kwamba serikali ya Nairobi haitafanya mazungumzo na kundi hilo hadi pale litakapotupilia mbali kaulimbiu yake ya "Pwani si Kenya" na kujitambua kuwa ni Wakenya.

Mahakama ya Mombasa sasa imemwagiza OCPD wa Mombasa Kipkemboi Rop kufika mbele yake kesho kuwasilisha uchunguzi wake kuhusu ni nini kilichosababisha kuuawa kwa mshukiwa mmoja wa kundi la Mombasa Republican Council jumatatu wakati wa rabsha kati yao na polisi.

Wakati huo huo mkuu wa polisi mkoani pwani amesisitiza kuwa polisi wataendeleza msako mkali dhidi ya kundi hilo.


Video:


Posted by Roy Snr. at 01:10
 
waachiwe nchi yao wapige marufuku elimu dunia wawe kama BOKO HARAM
BOKO HARAMU wachoma mashule karibu yote huko maduguri Nigeria kupinga elimu dunia imebaki misikiti tu nimeipenda sana hii
 
Nani anapaswa kuwaelimisha wananchi..... au kujenga mashule na miundombinu mingine.... I think you have the answer...
Please don't call your fellow countrymen uneducated, wavivu na washenzi..... otherwise..... this (MRC) will be worse than mungiki...

the govt sole purpose in any form of administration is to create colleges, if you choose to learn its your choice, 'community incentive'. The govt is tasked with creating proper macro economic environment and opportunities, are the same not available at the coast? Lets look at infrastructure, has the govt not invested in the area, look at security....a military installation and also a working security mechanism, look at health...many hospital, transport and communication (full fledged intl airport, a port), leisure and entertainment facilities.......now counterbalance what MRC are saying. They are stupid and no apologies for that. Its a group that holds a country at ransom, look at its leaders. If they wanted independence its for an 'illegitimate 16km strip' through and through. The C~i~C has spoken and its a done matter. As i said watch this space. support Zanzibar but MRC scrap it out...they are a done movement.
 
Mmoja auawa katika ghasia za kundi la MRC na polisi ya Kenya

368a21e51c1a5468216903a3645091ca.jpg

Bango la waandamanaji

Mtu mmoja amefariki dunia na wanachama wengine saba wa kundi linalotaka kujitenga eneo la pwani mwa Kenya la Mombasa Republican Council (MRC) baada ya kupigana na polisi nje ya Mahakama ya Sheria mjini Mombasa.


Mapigano hayo yalitokea baada ya polisi kuwazuia wanachama wa kundi hilo lililopigwa marufuku kuingia katika mahakama hiyo iliyokuwa ikisikiliza kesi inayohusu wanachama wa MRC.

Vijana wa kundi hilo linalotaka kujitenga pwani ya Kenya waliokuwa wamevaa tisheti zenye maandishi "Pwani si Kenya", walijaribu kuingia mahakamani kwa nguvu lakini wakazuiwa na polisi wa kuzuia ghasia.

435640277111c164291446a57c662c05.jpg

Kuta zilizochorwa na wafuasi wa MRC

Serikali ya Kenya imelipiga marufuku kundi hilo na imetangaza kwamba haitafanya mazungumzo na watu wanaotaka kujitenga.

Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga alisema jana kwamba serikali ya Nairobi haitafanya mazungumzo na kundi hilo hadi pale litakapotupilia mbali kaulimbiu yake ya "Pwani si Kenya" na kujitambua kuwa ni Wakenya.

Mahakama ya Mombasa sasa imemwagiza OCPD wa Mombasa Kipkemboi Rop kufika mbele yake kesho kuwasilisha uchunguzi wake kuhusu ni nini kilichosababisha kuuawa kwa mshukiwa mmoja wa kundi la Mombasa Republican Council jumatatu wakati wa rabsha kati yao na polisi.

Wakati huo huo mkuu wa polisi mkoani pwani amesisitiza kuwa polisi wataendeleza msako mkali dhidi ya kundi hilo.


Video:
www.roy's

Posted by Roy Snr. at 01:10
 
Mmoja auawa katika ghasia za kundi la MRC na polisi ya Kenya



368a21e51c1a5468216903a3645091ca.jpg

Bango la waandamanaji

Mtu mmoja amefariki dunia na wanachama wengine saba wa kundi linalotaka kujitenga eneo la pwani mwa Kenya la Mombasa Republican Council (MRC) baada ya kupigana na polisi nje ya Mahakama ya Sheria mjini Mombasa.


Mapigano hayo yalitokea baada ya polisi kuwazuia wanachama wa kundi hilo lililopigwa marufuku kuingia katika mahakama hiyo iliyokuwa ikisikiliza kesi inayohusu wanachama wa MRC.

Vijana wa kundi hilo linalotaka kujitenga pwani ya Kenya waliokuwa wamevaa tisheti zenye maandishi "Pwani si Kenya", walijaribu kuingia mahakamani kwa nguvu lakini wakazuiwa na polisi wa kuzuia ghasia.

435640277111c164291446a57c662c05.jpg

Kuta zilizochorwa na wafuasi wa MRC

Serikali ya Kenya imelipiga marufuku kundi hilo na imetangaza kwamba haitafanya mazungumzo na watu wanaotaka kujitenga.

Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga alisema jana kwamba serikali ya Nairobi haitafanya mazungumzo na kundi hilo hadi pale litakapotupilia mbali kaulimbiu yake ya "Pwani si Kenya" na kujitambua kuwa ni Wakenya.

Mahakama ya Mombasa sasa imemwagiza OCPD wa Mombasa Kipkemboi Rop kufika mbele yake kesho kuwasilisha uchunguzi wake kuhusu ni nini kilichosababisha kuuawa kwa mshukiwa mmoja wa kundi la Mombasa Republican Council jumatatu wakati wa rabsha kati yao na polisi.

Wakati huo huo mkuu wa polisi mkoani pwani amesisitiza kuwa polisi wataendeleza msako mkali dhidi ya kundi hilo.


Video:


Posted by Roy Snr. at 01:10

Wapeni chao, wakishindwa watarudi tena...:A S shade:
 
ukiangalia kwa karibu utacomment vyovyote lakini ukweli ni kuwa idea ya kutengana haina maana sana katika dunia ya leo.

Sababu kubwa iliyosababisha yaweza kuwa ujinga unaofanywa na Uhuru Kenyata ku-mobilize Wakikuyu kuungana kumkabiri Odinga na Rutto anavyofanya kwa kundi lake pia.

Sasa ulitegemea nini kwa makundi ambayo yamekuwa deprived na walewale wanaoongelea kujitafutia uhalali wa kupata ridhaa ya wananchi kwa malengo ya kujinufaisha!?
 
Back
Top Bottom