ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
Nimesikia gari la Mombasa Raha limetekwa jana usiku likitokea morogoro kwenda tabora....any news?? my young brother was there...but for now hapatikani tena hewani....
msaada tafadhali, kama kuna mtu anataarifa yeyote au ana mawasiliano ya hiyo kampuni ya bus...am confused!
msaada tafadhali, kama kuna mtu anataarifa yeyote au ana mawasiliano ya hiyo kampuni ya bus...am confused!