Juakali1980
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 798
- 506
Mombasa County
Merry X-mas from the mini-Miami of Africa..
Patamu sana hapo Mambasani, yaani hizo picha jo...
Japo uwe makini akina Mwanaisha wasije wakakunogesha hadi ujisahau. Maana wale warembo wa Pwani wana jinsi wakikugusa unakua tayari kuuza shamba lako la muwa kule kijijini ili ukaserebuke nao.
Tatizo hela za zao la muwa hucheleweshwa sana, yaani Mwanaisha akikukonyezea jicho na jinsi alivyochorwa chorwa zile tatoo zao, unaamua potelea mbali na kulitangazia shamba lote mnada.Hahahaa... Basi nauza muwa sitauza shamba na nije likizoni Aprili.
Usifike likoni utasau kwenu. Waulize kina wafula wao hujatafutwa na ukoo mzima. miaka 20 hajaenda kwao.vacation yangu mwezi wa pili mwakani nitaenda Mombasa.
kinachokera huko ni ushoga tu, ila mazingira ni mazuri.Patamu sana hapo Mambasani, yaani hizo picha jo...
Japo uwe makini akina Mwanaisha wasije wakakunogesha hadi ujisahau. Maana wale warembo wa Pwani wana jinsi wakikugusa unakua tayari kuuza shamba lako la muwa kule kijijini ili ukaserebuke nao.
Hiyo inaitwa waja leo waondoka mwakaniPatamu sana hapo Mambasani, yaani hizo picha jo...
Japo uwe makini akina Mwanaisha wasije wakakunogesha hadi ujisahau. Maana wale warembo wa Pwani wana jinsi wakikugusa unakua tayari kuuza shamba lako la muwa kule kijijini ili ukaserebuke nao.