Mombasa City (size ya Dar) African Traveler killed it!

Kwenye hili Kahama can teach Mombasa perfectly how to
...mbona mnapenda domo domo? Weka tu dhibitisho watu wachambue na kuamua. Mara sijui eti Mwanza nyef nyef, mara Tanga tanga.., we dont want theories here, weka evidence kama mko na jibu, kama hamna fyata.πŸ˜‚πŸ˜‚., tumewabana kote kote, sasa nikuponda ndio yenu.
 
...mbona mnapenda domo domo? Weka tu dhibitisho watu wachambue na kuamua. Mara sijui eti Mwanza nyef nyef, mara Tanga tanga.., we dont want theories here, weka evidence kama mko na jibu, kama hamna fyata.πŸ˜‚πŸ˜‚., tumewabana kote kote, sasa nikuponda ndio yenu.
Kwenye hoja mlikosa jibu kabisaa umebaki kutapatapa tu humu! No response kamwe! So derailing ndio umebaki nayo. Wenzako wenye "bando" wanapita kimya kimya after watching., πŸ˜‚πŸ˜‚ Tz ya viwonder kweli!., this year mmekosa hoja kabisaa ni povu na wivu ndio mnamwaga!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaka tulia tu na uvumilie.
Sio tusi, akili ndogo kweli. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Tanzania!!πŸ˜‚πŸ˜‚
Tatizo unakua mwehu, maneno million kidogo utafikiri ukifanya hivyo ndio Kahama itapitwa na Mombasa πŸ˜…πŸ˜…

Take it easy cause won't work
 
Tatizo unakua mwehu, maneno million kidogo utafikiri ukifanya hivyo ndio Kahama itapitwa na Mombasa πŸ˜…πŸ˜…

Take it easy cause won't work
Zero point, no response! Kati yangu na wewe nani mwehu? Umeshindwa kuweka jibu nikukwepa unakwepa na vijisababu, sasa ni kahamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaka haya basi rudi kule Nairobi vs Dar uweke vipicha., hauna hoja kamwe.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,
 
Zero point, no response! Kati yangu na wewe nani mwehu? Umeshindwa kuweka jibu nikukwepa unakwepa na vijisababu, sasa ni kahamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kaka haya basi rudi kule Nairobi vs Dar uweke vipicha., hauna hoja kamwe.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.,
Siku Mombasa inaingia level za Kahama unitag β˜€οΈ
 
Miongoni mwa mada za kijinga zaidi humu JF huwa ni hizi ligi za kushindanisha Kenya vs Tanzania. Kwa leo haya ndio maoni yangu.

1. Ni kweli Mombasa ni level ya juu zaidi kimandhali kuliko Mwanza. Hilo sina ubishi nalo. Lakini Mombasa ni level ya chini kuliko Dar. Na Dar ni level ya chini kuliko Nairobi. Kama ningeweka mfuatano basi ingekuwa Nairobi-Dar-Mombasa-Mwanza.

2. Miji yote hiyo ya Kenya na Tanzania imejaa uchafu, uholela na zaidi ya 80 ya wakazi wake wanaishi mazingira duni, yasiyopangwa na ovyo kabisa. Hivyo sioni wa kumcheka mwenzake au kujivunia.

3. Maisha yoyote mazuri na kuvutia kwa Kenya yana gharama kubwa na yapo kwa watu wachache zaidi kuliko ilivyo Tanzania. Ni rahisi sana kuishi maisha mazuri ukiwa Tanzania kuliko Kenya. Kuanzia Elimu, Afya, Makazi na Chakula.

4. Wakenya ni watu wenye mtizamo mpana zaidi wa kufanikiwa kimaisha (wapambanaji) lakini mfumo wa maisha yao kijamii hauna furaha wala ladha ya kuvutia ikiwa utawalinganisha na watanzania(waungwana)

5. Kitu pekee kinachoweza kumtofautisha Mkenya na Mtanzania katika mazingira yao ni tabia zao za kijamii lakini maisha yao kiuchumi ni yale yale. Wanafanana, Umaskini mtupu.
 
Miongoni mwa mada za kijinga zaidi humu JF huwa ni hizi ligi za kushindanisha Kenya vs Tanzania. Kwa leo haya ndio maoni yangu.

1. Ni kweli Mombasa ni level ya juu zaidi kimandhali kuliko Mwanza. Hilo sina ubishi nalo. Lakini Mombasa ni level ya chini kuliko Dar. Na Dar ni level ya chini kuliko Nairobi. Kama ningeweka mfuatano basi ingekuwa Nairobi-Dar-Mombasa-Mwanza.

2. Miji yote hiyo ya Kenya na Tanzania imejaa uchafu, uholela na zaidi ya 80 ya wakazi wake wanaishi mazingira duni, yasiyopangwa na ovyo kabisa. Hivyo sioni wa kumcheka mwenzake au kujivunia.

3. Maisha yoyote mazuri na kuvutia kwa Kenya yana gharama kubwa na yapo kwa watu wachache zaidi kuliko ilivyo Tanzania. Ni rahisi sana kuishi maisha mazuri ukiwa Tanzania kuliko Kenya. Kuanzia Elimu, Afya, Makazi na Chakula.

4. Wakenya ni watu wenye mtizamo mpana zaidi wa kufanikiwa kimaisha (wapambanaji) lakini mfumo wa maisha yao kijamii hauna furaha wala ladha ya kuvutia ikiwa utawalinganisha na watanzania(waungwana)

5. Kitu pekee kinachoweza kumtofautisha Mkenya na Mtanzania katika mazingira yao ni tabia zao za kijamii lakini maisha yao kiuchumi ni yale yale. Wanafanana, Umaskini mtupu.
Miongoni mwa mada za kijinga zaidi humu JF huwa ni hizi ligi za kushindanisha Kenya vs Tanzania. Kwa leo haya ndio maoni yangu.

1. Ni kweli Mombasa ni level ya juu zaidi kimandhali kuliko Mwanza. Hilo sina ubishi nalo. Lakini Mombasa ni level ya chini kuliko Dar. Na Dar ni level ya chini kuliko Nairobi. Kama ningeweka mfuatano basi ingekuwa Nairobi-Dar-Mombasa-Mwanza.

2. Miji yote hiyo ya Kenya na Tanzania imejaa uchafu, uholela na zaidi ya 80 ya wakazi wake wanaishi mazingira duni, yasiyopangwa na ovyo kabisa. Hivyo sioni wa kumcheka mwenzake au kujivunia.

3. Maisha yoyote mazuri na kuvutia kwa Kenya yana gharama kubwa na yapo kwa watu wachache zaidi kuliko ilivyo Tanzania. Ni rahisi sana kuishi maisha mazuri ukiwa Tanzania kuliko Kenya. Kuanzia Elimu, Afya, Makazi na Chakula.

4. Wakenya ni watu wenye mtizamo mpana zaidi wa kufanikiwa kimaisha (wapambanaji) lakini mfumo wa maisha yao kijamii hauna furaha wala ladha ya kuvutia ikiwa utawalinganisha na watanzania(waungwana)

5. Kitu pekee kinachoweza kumtofautisha Mkenya na Mtanzania katika mazingira yao ni tabia zao za kijamii lakini maisha yao kiuchumi ni yale yale. Wanafanana, Umaskini mtupu.
You are entitled to your opinion. I respect that, however, next time provide concrete facts, not spewing propaganda and biased views here. Ukweli uko wazi.
Stop looking at Kenya through Tanzanian lenses, mko way below licha ya shida zetu, naitambua Tz.
 
Ukishaona matusi ndio pona yako ujue hoja imekushinda na hasira imekutawala, jiheshimu kidogo sababu matusi hayataipeleka Mombasa popote


Ni ushauri tu lakini
Mkuu uwe unawaacha wajinga wafurahie nyuzi zao za kujipa matumaini in peace

Sema wabongo mnapiga spana sana aisee.
 
Back
Top Bottom