Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Picha ya mwaka
Huyu Mchato ni muoga sana lakini hajui kuwa siku kipenga kikipigwa atashangaa na kubaki mdomo wazi
Ama kweli hii ndo awamu ya 5. Haaahaa hahaaaa
Tuendelee kuilinda amani ya nchi yetu tukiwa na tumaini kwamba muda wake utaisha na ataondoka. Wakati mwingine nahisi hata jeshi la polisi halipendi kutesa raia wema ila jeshi linapelekeshwa na kulazimishwa kutenda ndivyo sivyoWanatuona watanzania ni wajinga au makondoo
In God we Trust
Tuendelee kuilinda amani ya nchi yetu tukiwa na tumaini kwamba muda wake utaisha na ataondoka. Wakati mwingine nahisi hata jeshi la polisi halipendi kutesa raia wema ila jeshi linapelekeshwa na kulazimishwa kutenda ndivyo sivyo
Huyo ni mwenyekiti wa CCM hivyo alikuwa akiwaambia wabunge wake wasiogope wafanye mikutano.Magufuli alisema kila mbunge afanye mikutano jimboni kwake, ajabu sasa hivi hawataki wapinzani wafanye mikutano hata kwenye majimbo yao!
Kama sababu ni usalama wao polisi wanahusika na nini, kwani sio kazi yao kulinda usalama wa raia na mali zao?
CCM inafurahia kubebwa namna hii halafu wanakwambia chama chao kinakubalika!, na hao polisi kama kulinda usalama hawawezi bora watafutiwe mashamba wakalime tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli alisema kila mbunge afanye mikutano jimboni kwake, ajabu sasa hivi hawataki wapinzani wafanye mikutano hata kwenye majimbo yao!
Kama sababu ni usalama wao polisi wanahusika na nini, kwani sio kazi yao kulinda usalama wa raia na mali zao?
CCM inafurahia kubebwa namna hii halafu wanakwambia chama chao kinakubalika!, na hao polisi kama kulinda usalama hawawezi bora watafutiwe mashamba wakalime tu.
Sent using Jamii Forums mobile app