Shambaboy jogoli
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 1,223
- 1,624
Mtu akikaribia kufa lazima atapetape!Naona Tundu Lisu anaendelea kupiga nyundo huko Majuu akieleza aina ya Tanzania tunayotakiwa kuishi.
Tanzania ya utu si Tanzania ya vitu, Tanzania ya sheria si Tanzania ya mtu. Nchi ambayo umri uliopewa kuishi hauingiliwi na kupunguzwa na mtu. Nchi ambayo uhai haulinganishwi na kitu kingine chochote wala aubadilishwi na kitu chochote.
(2020 was a difficult year for democracy in Africa, including in #Tanzania. But @TunduALissu reminds us that there is hope. "We have survived the Magufuli dictatorship. We were supposed to be completely down and out. We are not." Lisu)
Je wale waliotuambia kuwa amenyamazishwa na wakaleta taarifa na vifungu vyao vya sheria wanamchukulia hatua gani huyu mtu ambaye anyamazi Kama Asylum na Refugee tulioaminishwa hapa Jf?
Au sisi Wana CCM tunajua zaidi ya sheria za kimataifa kuliko Mataifa?