Hatari tupu! Mwajiri wake anapaswa kushtakiwa kwa kumweka mfanyakazi huyu kwenye mazingira hatarishi kwa maisha yake! Hakuna any sort of protection... akiteleza tu, ndio mwisho wa uhai wake!
Umaskini wa mtu huyu usiwe sababu ya mwajiri wake kumnyanyasa namna hii!
kaka nami nipo huku,wahindi na jamaa wengine wa asia wanahenyeshwa vilivyo,kila siku wengi wanakufa makazini lakini falme ya kiarabu ni wazuri sana wa kucheza na media...mishahara sasa mh...
Hili jengo ni mfano wa bad architecture.Majengo yote marefu kama haya yanatakiwa kuwa anchorages or other devices kwenye roof kwa ajili ya suspended equipments kama bosun's chair,single work cage or platform. Pia wangeweza kuweka windows ambazo kuzizungusha OUTSIDE kuwa INSIDE
Huko Dubai inaonyesha ujenzi wao hauna tofauti na kule Kariakoo mradi jengo lisimame mambo mengine mbele kwa mbele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.