Moja ya speech za Kashindye

asante sana ndugu kwani umetufungua macho kuhusu kinachoendelea huko Igunga asante sana.
 
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo
 
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo
Kama kusema ukweli kwamba bei ya petroli ni rahisi nchini Rwanda kuliko Tanzania ni pumba basi kichwa chako ndicho kilichojaa pumba.
 
Wakuu,
Kuna wana jf wenzetu ambao wanatumia mobile kuingia humu jamvini. Kwa kuweka thread yenye link bila maelezo yoyote kunawanyima nafasi ya kuisoma na kuchangia thread husika. Nadhani ingekuwa vema kama tukitoa maelezo kuhusu thread na link iwe kama source ya habari.
 
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo

Haya sema wewe uliye na elimu kubwa.....na GPA yako ya 4 ya kuonga wahadhiri kupitia mgongo wa Nape na Ridhiwani pale UDSM....endelea tutaanika uchafu wako wote hapa JF,ili watu wakujue kuwa ni moja wa mafisadi wanaotengenezwa na Chama Cha Majambazi(CCM)....

Halafu degree yenyewe ya fishing unaleta kelele hapa....Hv nani atashindwa kupata GPA ya 4 kwenye masomo ya uvuvi wa samaki? Yaani hata wafanyabiashara pale FERI wanauwezo wa kusoma hiyo degree..na ndio maana mimi sishangai uwezo wako mdogo wa kujenga hoja na kutetea hoja..

Kazi yako ni kuandika mstari mmoja tu..na kuleta mipasho hapa...wewe unafaa sana facebook mkuu...
 
Duk kumbe ndio maan ajamaa anatumia nguvu na muda wake kuitetea CCM, kumbe ana masilahi

Haya sema wewe uliye na elimu kubwa.....na GPA yako ya 4 ya kuongea wahadhiri kupitia mgongo wa Nape na Ridhiwani pale UDSM....endelea tutaanika uchafu wako wote hapa JF,ili watu wakujue kuwa ni moja wa mafisadi wanaotengenezwa na Chama Cha Majambazi(CCM).....
 
Wakuu,
Kuna wana jf wenzetu ambao wanatumia mobile kuingia humu jamvini. Kwa kuweka thread yenye link bila maelezo yoyote kunawanyima nafasi ya kuisoma na kuchangia thread husika. Nadhani ingekuwa vema kama tukitoa maelezo kuhusu thread na link iwe kama source ya habari.

kama vile hujasomeka vizuri
 
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo
huoni kwamba wagombea wenye elimu ndogo ni zao la chama tawala ?? fifty years za independency bado tuna watu wenye elimu ndogo wanagombea ubunge??

think about it............ critically!!! Ni sawa na kusema mwanangu mpuuzi sana, kafeli... wakati akisoma ulikua unamsaidia??

BTW................ you are trying very hard sema tu, unashindwa kutumia uwezo wako kufikisha ujumbe kwasbabu ya dharau zinazotokana na malezi uliyopata
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo

Hivi kumbe 1st degree na kuwa 2nd degree student ni elimu ndogo!! Magamba bwana. Kwa hiyo na mwenyekiti wenu ana elimu ndogo ndiyo maana anaboronga kuongoza nchi? Kumbe mnajua, aisee umenitanabahisha sikujua
 
Wakuu, <br />
Kuna wana jf wenzetu ambao wanatumia mobile kuingia humu jamvini. Kwa kuweka thread yenye link bila maelezo yoyote kunawanyima nafasi ya kuisoma na kuchangia thread husika. Nadhani ingekuwa vema kama tukitoa maelezo kuhusu thread na link iwe kama source ya habari.
<br />
<br />
Naunga mkono hoja 100o/o
 
Haya sema wewe uliye na elimu kubwa.....na GPA yako ya 4 ya kuonga wahadhiri kupitia mgongo wa Nape na Ridhiwani pale UDSM....endelea tutaanika uchafu wako wote hapa JF,ili watu wakujue kuwa ni moja wa mafisadi wanaotengenezwa na Chama Cha Majambazi(CCM)....Halafu degree yenyewe ya fishing unaleta kelele hapa....Hv nani atashindwa kupata GPA ya 4 kwenye masomo ya uvuvi wa samaki? Yaani hata wafanyabiashara pale FERI wanauwezo wa kusoma hiyo degree..na ndio maana mimi sishangai uwezo wako mdogo wa kujenga hoja na kutetea hoja..kazi yako ni kuandika mstari mmoja tu..na kuleta mipasho hapa...wewe unafaa sana facebook mkuu...



hahahahahahahahahahahahahahahha ahahahahahahah asante sana braza...kumbeeeeeeeeeeeeeeeee unajua watu wenye vidigrii vya kuokota okota wanambwembwe sana, yani kidogo tu tayari anaanza kuponda "oooh tatizo shule" lakini ukichunguza kwa undani shule ya kipuuuzi tu....

huyu mwita25 ni mpumbavu tu...nitaendelea kusema....anamjua mbunge wa ccm pale makambako?? em tutajie elim yake...au yule prof maji marefu em tutajie elim yake....ccm ndo mnaongoza kwa vilaza duniani....kuna vilaza ambao mmeshawapa hadi wizara achilia ubunge....kaoge nyama wewe
 
hahahahahahahahahahahahahahahha ahahahahahahah asante sana braza...kumbeeeeeeeeeeeeeeeee unajua watu wenye vidigrii vya kuokota okota wanambwembwe sana, yani kidogo tu tayari anaanza kuponda "oooh tatizo shule" lakini ukichunguza kwa undani shule ya kipuuuzi tu....

huyu mwita25 ni mpumbavu tu...nitaendelea kusema....anamjua mbunge wa ccm pale makambako?? em tutajie elim yake...au yule prof maji marefu em tutajie elim yake....ccm ndo mnaongoza kwa vilaza duniani....kuna vilaza ambao mmeshawapa hadi wizara achilia ubunge....kaoge nyama wewe
Hivi na Yule wa RoRya bado ni Mbunge au amejitoa?
 
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo
<br />
<br />
Wewe huon nchi inavyoibiwa ni kweli kabisa viongozi wetu hawana elimu ya kutosha kuanzia Gamba kuu mpaka gamba dogo!kama kiongozi mkuu anahongwa suti hii ni hatari sana!
 
Mbona speech yenyewe imejaa pumba tupu. Haya ndiyo matatizo ya wagombea ya kuokoteza na wenye elimu ndogo ndogo


Atawakilisha maslahi ya kundi lenye elimu ndogo ndogo ambao ndio wengi hapa Tanzania, uwezo wa kifedha na uwezo wa kufikiri ni vitu viwili tofauti. Maskini atafikiri njia inayotekelezeka ya kumpunguzia maskini mwenziwe umaskini wakati Tajiri fikra zake bila "external financing" hazifanyi kazi
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom