mngony
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 5,193
- 6,381
- Thread starter
- #21
Picha nyingi huyo mwenye kipara huwa anakuwa na sura ya mbuzi, hata mbele ya mabosi zake. Kumbe akikutana washkaji wenzake anacheka namna hiiKwakweli nawaona wazee
Mmoja Kamanda wa WASIOJULIKANA (Wazee wa noa Nyeusi)
Na mwingine Kamanda wa UVUNJIFU wa AMANI (Wazee wa Kujiridhisha Faili lipo kwenye Uchunguzi)
Kazi iendelee !