unajaribu kuonja sumu? by mzee sumaye alitaka kugombea uenyekiti akatoka ndukiiiiiiii wange mchacha wangweKwa hiyo kumbe tatizo sio mfumo ila ni kiongozi anayekuwa madarakani ni kama vile tu mbowe lipumba au mbatia ambavyo huwezi kuwatoa kwenye vyeo vyao sio kwamba mifumo ya vyama ni mibovu ila ni ubabe wao tu.
Maana ukigusa tu kile kiti ndipo utaona moto wao!?