yohana charles
Senior Member
- Mar 21, 2013
- 134
- 10
Mkubwa Lowassa ambaye binafsi naamini ndo mtu pekee aliyebaki ndan ya CCM mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu,na ni ukweli usiopingika kwamba tangu aondoke Lowassa ndo serikali ya Kikwete imeyumba hadi leo..alijiuzulu uwaziri mkuu kutokana na uzembe wa mawaziri wake yan Karamagi na Msabaha..wawili tu.. juzi tumeshuhudia mawaziri wa4 miongoni mwa wanaoitwa mizigo wakitoswa...VIPI MIZENGO KAYANZA PETER PINDA kama bosi wao anangoja nini kuchukua hatua?