Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,348
- 6,472
Imekuwa ikisikika mara nyingi swali ni wapi watanzania tumekosea mpaka kuwa nchi masikini na tabia za kupelekea huko. Baadhi wanahisi tumelogwa kama sio msemo tu. Rais mmoja mstaafu aliwahi kuulizwa swali juu ya chanzo cha umasikini wa Tanzania, na kujibu hafahamu.
Makosa tunayoendelea kufanya yanaweza kuwa ni mengi ila kubwa na laweza kuwa chanzo haswa ni malezi yasiyo bora kwa watoto wetu hasa katika kujenga ubora wa afya kwa ujumla wake. Binadamu anatungwa mimba, mimba inahitaji huduma bora, mazingira ya kujifungua yawe bora, anapokua mpaka miaka mitatu baada ya kuzaliwa, maisha yanatakiwa kuwa bora. Zaidi, mama na baba wa mtoto wanatakiwa nao kuwemo kwenye ubora tangu kutungwa mimba, kuzaliwa, na kukua.
Changamoto kubwa ni kuvunja huo mzunguko na kuelekea kwenye ubora.
Kwa kifupi ni afya ya mama na mtoto na elimu ndio sources kubwa za tunayoshuhudia, ingawaje elimu sijaizungumzia hapo juu ila ni sehemu ya child development.
Makosa tunayoendelea kufanya yanaweza kuwa ni mengi ila kubwa na laweza kuwa chanzo haswa ni malezi yasiyo bora kwa watoto wetu hasa katika kujenga ubora wa afya kwa ujumla wake. Binadamu anatungwa mimba, mimba inahitaji huduma bora, mazingira ya kujifungua yawe bora, anapokua mpaka miaka mitatu baada ya kuzaliwa, maisha yanatakiwa kuwa bora. Zaidi, mama na baba wa mtoto wanatakiwa nao kuwemo kwenye ubora tangu kutungwa mimba, kuzaliwa, na kukua.
Changamoto kubwa ni kuvunja huo mzunguko na kuelekea kwenye ubora.
Kwa kifupi ni afya ya mama na mtoto na elimu ndio sources kubwa za tunayoshuhudia, ingawaje elimu sijaizungumzia hapo juu ila ni sehemu ya child development.