Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,159
- 45,856
Ntapika hapa kwangu uje
powa saa ngapi nije ?
Ntapika hapa kwangu uje
Naona Pepsi inazidi kupendwa sana na wabongo, sijui kwanini juzi kati nilikuwa Dar kama unavyojua Dar jua kali sana sehemu za vinywaji laini wengi walikuwa wanaagiza pepsi na maji...
Naunga mguu hoja Coke ya Sasa ni hovyo kabisa imekosa ule msisimko, Pepsi ukipata ile ya chupa hasa ya baridiioo Tami Hadi kumoyo tamu hadi unasisimka!!new formula(ladha) ya coca cola haipendwi na watu wengi na mshindani wa coca ni pepsi so watu wengi wametoka kwa coca kwenda pepsi
Soda mbaya zaidi ina machemicalKwa hiyo ma keivoo au makonyagi ndo yako poa sio?
Kila kitu inaua bali inategemea na matumizi yako tu katika mwili
Mzee uko Dom nini maana hii huku nimeikuta imezagaa balaa mi nilizoe smart gin sanaCuca na mimi, mimi na Cuca