Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Ya Leo kali. jamaa yangu anauguliwa pale hospitai ya Muhimbili @ MOI wameishiwa dawa ya usingizi na wagonjwa hili wafanyiwa upasuaji lazima wapatiwe dawa ya usingizi .Kwa sasa dawa hizo hakuna.Twafa bajamee