Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,676
Tanzania tunashindwa udhibiti wa bei ya mafuta na Congo wanaopigana vita kila siku na raslimali zao kuporwa na mabeberu. Na mafuta yao yanasafirishwa na kulipiwa nauli ya km elfu kadhaa za barabara.