Hapa Moro stand kumetokea mzozo mkubwa. Abiria wa kutoka Shinyanga wamegoma kufaulishwa kuingia kwenye gari linalotoka Dodoma. Trafiki inaelekekea amefungwa mdomo mana anadai anataka piga simu kwa mabosi wake.
kweli watanznia wameamka saa.Wanajua haki zao sasa. Hali bado tete sana,ni makelel na vurugu
kweli watanznia wameamka saa.Wanajua haki zao sasa. Hali bado tete sana,ni makelel na vurugu