Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,887
- 30,233
MOHAMED SHEBE CAMERA YAKE NDIYO ILIYOTUHIFADHIA HISTORIA YA TANU, MWALIMU NYERERE NA UHURU WA TANGANYIKA
Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Mohamed Shebe kushoto na anaefuatia ni John Rupia na kulia mwisho ni Julius Kambarage Nyerere.
Mohamed Shebe kaishi na viongozi hawa toka siku ya kwanza ilipozaliwa TANU kupigania uhuru wa Tanganyika na kupitia jicho la camera yake akahifadhi historia yote ya TANU.
Picha hiyo hapo chini inamuonyesha Mohamed Shebe kushoto na anaefuatia ni John Rupia na kulia mwisho ni Julius Kambarage Nyerere.
Mohamed Shebe kaishi na viongozi hawa toka siku ya kwanza ilipozaliwa TANU kupigania uhuru wa Tanganyika na kupitia jicho la camera yake akahifadhi historia yote ya TANU.