Na tunamnyang'anya tu maana ameyahodhi badala ya kuyafanyie shughuli za uzalishaji....kwani yeye nani bwana.Baada ya kumaliza kuongea na wandishi wa habari kuhusu masuala ya timu ya Simba,Mwananchi alifuata kutaka kujua hatima ya mashamba yake
Mo akajibu"Hili suala la mashamba tuliache tu,ni kumuachia mungu"
My take :Hii kauli inaashiria maumivu anayopata Mo kutokana na vitendo vinavyofanywa na awamu hii ya 5,mara atekwe mara anyang'anywe mashamba,mara accounts zake zikaguliwe
Wakati ulaya na marekani serikali ziliwasapoti mabourgeoisie,wakaleta mapinduzi ya viwanda ulaya na marekani huku Tanzania wanaonwa kama ni watu hatari sana
Nani asiyejua mabourgeoisie kipindi cha marcantelism mbinu walizotumia kuacumulate wealth,hazikuwa fair,lakini hao ndo walisababisha ulaya kuwa kama ilivyo sasa ambayo kila mwafrika anatamani aishi ulaya
Ujamaa haujawahi kushinda duniani
2020 twende na Lisu
Sent using Jamii Forums mobile app