Mohamed Dewji azima kumbukumbu ya Mwl Nyerere

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
218,003
Kwa mara ya kwanza nimeona watanzania kwa " kauli " moja wakishirikiana katika jambo , Maajabu !

Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya miaka kadhaa tangu Baba wa Taifa kuaga dunia , ambayo mara zote wananchi wamekuwa wakiienzi kwa kufanya makongamano na mambo mengine ya kiutu kufanyika mitaani , leo imekuwa tofauti , kuanzia kwenye vyombo vya habari hadi kwenye mitaa .

Magazeti yote ikiwemo hata wananchi kwa ujumla wao mijadala inayotrend ni kutekwa kwa MO ambaye ni siku ya Tatu bado hatima yake haijajulikana , Habari ya kumbukumbu ya Nyerere imezimwa na wala haijadiliwi tena !

Jambo hili la kuzimika kwa kumbukumbu ya Baba wa Taifa mtu aliyeasisi siasa za Utu , upendo na umoja wa kitaifa , hasa katika kipindi hiki cha utekaji ni ishara ya kitu gani ?
 
Kwa mara ya kwanza nimeona watanzania kwa " kauli " moja wakishirikiana katika jambo , Maajabu !

Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya miaka kadhaa tangu Baba wa Taifa kuaga dunia , ambayo mara zote wananchi wamekuwa wakiienzi kwa kufanya makongamano na mambo mengine ya kiutu kufanyika mitaani , leo imekuwa tofauti , kuanzia kwenye vyombo vya habari hadi kwenye mitaa .

Magazeti yote ikiwemo hata wananchi kwa ujumla wao mijadala inayotrend ni kutekwa kwa MO ambaye ni siku ya Tatu bado hatima yake haijajulikana , Habari ya kumbukumbu ya Nyerere imezimwa na wala haijadiliwi tena !

Jambo hili la kuzimika kwa kumbukumbu ya Baba wa Taifa mtu aliyeasisi siasa za Utu , upendo na umoja wa kitaifa , hasa katika kipindi hiki cha utekaji ni ishara ya kitu gani ?

Hakuna takataka au vumbi lolote linaloweza kuzima kumbukumbu za hayati Mwalimu Julisu Kambarege Nyerere katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

And it will never ever happen.
 
kwenye vitabu ni kweli Nyerere alikufa tarehe 14 october , lakini kinachozungumzwa leo si kifo cha Nyerere tena , bali wananchi wanazungumza kutekwa kwa MO siku tatu zilizopita , tena bila majibu wala dalili yake kupatikana .

Siku huyo MO akipatikana, ndipo utazidi kuunganiisha dots.

Ninyi endeleeni kumtukuza tu.

Tuendelee kusubiri msako wa polisi kumtafuta MO

Ila usimfananishe Hayati Nyerere na MO
 
Hakuna takataka au vumbi lolote linaloweza kuzima kumbukumbu za hayati Mwalimu Julisu Kambarege Nyerere katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

And it will never ever happen.
Imetokea,watu wanajadili kupotea kwa MO kuliko hiyo kumbukumbu!Ndio iko hivyo,angalia magazeti ya leo,font fed ni nini?Angalia mijadala mitandaoni,nini kimetawala?Nenda kwenye vijiwe vya kahawa!
 
Wapinzani bana kwa kudakia matukio hamjambo.

Kila mwaka kumbukumbu ya mwalimu haibambi kivile tena ya saiv imeangukia weekend ndo kabisaa wengi wamesahau.

Sikukuu nyingi zikidondokea weekend watu hawapati mzuka kama zinapodondokea siku za kazi
 
Imetokea,watu wanajadili kupotea kwa MO kuliko hiyo kumbukumbu!Ndio iko hivyo,angalia magazeti ya leo,font fed ni nini?Angalia mijadala mitandaoni,nini kimetawala?Nenda kwenye vijiwe vya kahawa!

Ni kweli, inashangaza kuona mtu kama MO anatekwa kirahisi hivyo na asiweze kupatikana katika muda mfupi.

Lakini inategemea ni wapi amepelekwa na ni muda gani hao watekaji watahitaji kumshikilia.

Na hayo magazeti kwa kuwa mengi yana ajenda nyingi dhidi ya serikali, basi wanaweza kuandika watakavyo ingawa wanafanya hivyo kwa umakini mkubwa.

Ila hao watu wote haimaanishi kwamba hawaitambui siku ya leo.

Kwani hii siku sio siku ya kitaifa ingawa mimi binafsi ningependa kuona hiyo siku inakuwa ni ya kitaifa.
 
Wapinzani bana kwa kudakia matukio hamjambo.

Kila mwaka kumbukumbu ya mwalimu haibambi kivile tena ya saiv imeangukia weekend ndo kabisaa wengi wamesahau.

Sikukuu nyingi zikidondokea weekend watu hawapati mzuka kama zinapodondokea siku za kazi
nimejikuta nacheka tu !
 
Ni kweli, inashangaza kuona mtu kama MO anatekwa kirahisi hivyo na asiweze kupatikana katika muda mfupi.

Lakini inategemea ni wapi amepelekwa na ni muda gani hao watekaji watahitaji kumshikilia.

Na hayo magazeti kwa kuwa mengi yana ajenda nyingi dhidi ya serikali, basi wanaweza kuandika watakavyo ingawa wanafanya hivyo kwa umakini mkubwa.

Ila hao watu wote haimaanishi kwamba hawaitambui siku ya leo.

Kwani hii siku sio siku ya kitaifa ingawa mimi binafsi ningependa kuona hiyo siku inakuwa ni ya kitaifa.
Sina maana kuwa haitambuliki,inatambulika sana!Lakini mjadala wa kumbukumbu ya Mwl imemezwa na suala hili la utekaji wa Mo!
Na hapa sababu iko wazi,kila mwaka tunaadhimisha siku ya Nyerere,lakini hili tukio ni jipya kwa nchi hii!Haijawahi kutokea katika nchi hii tajiri namba moja tena kijana kutekwa tena katika mazingira yenye usalama sana halafu tuwe hatuna clue kabisa!
 
Sina maana kuwa haitambuliki,inatambulika sana!Lakini mjadala wa kumbukumbu ya Mwl imemezwa na suala hili la utekaji wa Mo!
Na hapa sababu iko wazi,kila mwaka tunaadhimisha siku ya Nyerere,lakini hili tukio ni jipya kwa nchi hii!Haijawahi kutokea katika nchi hii tajiri namba moja tena kijana kutekwa tena katika mazingira yenye usalama sana halafu tuwe hatuna clue kabisa!
si kwamba hajui bali ni kwa vile andiko hili limewekwa na erythrocyte
 
Sina maana kuwa haitambuliki,inatambulika sana!Lakini mjadala wa kumbukumbu ya Mwl imemezwa na suala hili la utekaji wa Mo!
Na hapa sababu iko wazi,kila mwaka tunaadhimisha siku ya Nyerere,lakini hili tukio ni jipya kwa nchi hii!Haijawahi kutokea katika nchi hii tajiri namba moja tena kijana kutekwa tena katika mazingira yenye usalama sana halafu tuwe hatuna clue kabisa!

Ni kweli usemayo, inastua sana.

Ila tungojee askari wetu na makachero wa kitanzania waendeele na kazi yao ngumu ya uchunguzi kumtafuta MO.
 
Back
Top Bottom