Mohamed Aboutrika Amewataka Wachezaji wa Kiislamu Ligi kuu ya England kususia kampeni ya Rainbow

Mo Salah,Ziyech, Mendy , Mahrez....kazi kwenu😁

images (21).jpeg
 
Ila kuna mambo mengine ni ya kijinga sana.
Me ninavyo jua, siku kuu ya Waislam inasheherekewa na Waislam wenyewe, na ya kikristo pia, itasheherekewa na wenyewe wakristo.
Sasa inakuaje sikukuu ya mashoga ikasheherekewa na wana Soccer?
 
Yuko sahihi kwa namna moja au ingine, ila warabu wanafki sana, wanajifanyaga kupinga vitu kibao ila mwisho wa siku wao ndio watendaji wakuu ispokuwa tu wao hawajitangazi, jamaa ndo wanaongoza kwa kutuharibia watoto wa jinsia zote mbili,

inafkia hatua ukiona tu mwarabu anatoka kimapenzi na mdada wa kitanzania Kila mtu anaanza kuhisi basi mtadao pendwa unatumika, ukiona tu anamazoea na vijana wetu walamba lips unaanza kupata mashaka juu ya urijali wake, ila sasa wao ndo wako mstari wa mbele kuwaigizia wengine wao ni wema Sana kumbe wengi wao ni hovyo tu
 
Yuko sahihi kwa namna moja au ingine, ila warabu wanafki sana, wanajifanyaga kupinga vitu kibao ila mwisho wa siku wao ndio watendaji wakuu ispokuwa tu wao hawajitangazi, jamaa ndo wanaongoza kwa kutuharibia watoto wa jinsia zote mbili,

inafkia hatua ukiona tu mwarabu anatoka kimapenzi na mdada wa kitanzania Kila mtu anaanza kuhisi basi mtadao pendwa unatumika, ukiona tu anamazoea na vijana wetu walamba lips unaanza kupata mashaka juu ya urijali wake, ila sasa wao ndo wako mstari wa mbele kuwaigizia wengine wao ni wema Sana kumbe wengi wao ni hovyo tu
Hii inaitwa Arabs to win both halves
 
Mohamed Aboutrika has asked Muslim Players to boycott England's Premier League's Rainbow Laces campaign in support of homosexuality.

It's done through the wearing of multi-coloured laces, armbands and badges.

Premier League has expressed its outrage over Aboutrika's statement.

Source African sports Today
Mtueleweshe ndo nn maana yake?
 
Angewashauri wasuse ligi zao warudi Africa, maana pesa zao ni haramu.
 
Hata wakisusa yatatokea tu ukwel usemwe. Sasa ivi tuko nyakati za mwisho so Haya lazima yatokee na mengi mabaya yanakuja kwa kasi kubwa sana
 
Yuko sahihi kwa namna moja au ingine, ila warabu wanafki sana, wanajifanyaga kupinga vitu kibao ila mwisho wa siku wao ndio watendaji wakuu ispokuwa tu wao hawajitangazi, jamaa ndo wanaongoza kwa kutuharibia watoto wa jinsia zote mbili,

inafkia hatua ukiona tu mwarabu anatoka kimapenzi na mdada wa kitanzania Kila mtu anaanza kuhisi basi mtadao pendwa unatumika, ukiona tu anamazoea na vijana wetu walamba lips unaanza kupata mashaka juu ya urijali wake, ila sasa wao ndo wako mstari wa mbele kuwaigizia wengine wao ni wema Sana kumbe wengi wao ni hovyo tu

acha maisha ya kukariri ndugu
 
Back
Top Bottom