CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Yes natangaza kujivua 'GAMBA'kwa 'mtoto' king'ast!!
Haiwezekani kupigwa ban kila wiki tena weekends.Ngoja wenye visu vikali wale nami ntapata mwandani wangu tutakaeshibana kama king'ast na Paw wake.
Nawajua wote walionyuma ya sekeseke hili,na hasa huyo mwekiti sijui baba nani nememsahau,yeye ndio chanzo!!!!!
Haiwezekani kupigwa ban kila wiki tena weekends.Ngoja wenye visu vikali wale nami ntapata mwandani wangu tutakaeshibana kama king'ast na Paw wake.
Nawajua wote walionyuma ya sekeseke hili,na hasa huyo mwekiti sijui baba nani nememsahau,yeye ndio chanzo!!!!!
Last edited by a moderator: