Ookayhaha bwana Civilian Coin nakupongeza kwa kusimamia unachokiamini.
Ila ICC haina jurisdiction ya kukubadili jina, Nenda kwenye mahakama zetu ukale kiapo.
YapHata Wamarekani wanaamini mambo ya uchawi?
Mtemi mpaka siku ya kwenda Jehanam, aisee utakuwa na majina zaidi ya 200 na ushee!! Yaani uki wagoogle tu ndugu zako wa damu wa Marekani, tayari na wewe unabadili jina!! 😁😁😁Nimefanya mabadiliko haya Kama Petition inavyojieleza hapo chini kutokana na kutafuta mabadiliko ya msingi ya jina ambalo Mungu analitaka kufikia hatua za Modernist System. Wengi hawatanielewa.
Nchini Marekani mwanamuziki Sean Comb maarufu Kama Diddy alifanya mabadiliko Mara nyingi mpaka akawa imara na Star mkubwa alianza na Puffy Daddy akabadili akawa P.diddy akabadili tena akwa Diddy na hivi karibuni ameapa Mahakamani na kuongeza "Love".
Kwangu Mimi kugeukia CIVILIAN COIN nakuachana na DJ. DON NALIMISON sio dhambi na Wala sio kosa Bali Ni busara takatifu ya kutakasa mipango yangu.
Mabadiliko yote yatafanyikia Mahakama Kuu na Mahakama ya Kimataifa (ICC) na ndipo takuja kurekebisha Account yangu hapa JF.
Maana halisi ya jina Langu jipya CIVILIAN COIN Ni kutafuta Ushirikiano wa Kiraia baada ya kukosa Ushirikiano wa kimadaraka na Uongozi. Hivyo raia(Wananchi) ndio kampani yangu kuanzia Sasa.
Wasalaaam:
CIVILIAN COIN
29 DESEMBA 2021.
View attachment 2026990
KabisaUCHAWI UPO
Hatari kabisa. Kuna wanafunzi wako walikua wanakukubali kinomaaa. Ila utakua umerogwa sio bure
deo kasandu mtu mbadi.Nimefanya mabadiliko haya Kama Petition inavyojieleza hapo chini kutokana na kutafuta mabadiliko ya msingi ya jina ambalo Mungu analitaka kufikia hatua za Modernist System. Wengi hawatanielewa.
Nchini Marekani mwanamuziki Sean Comb maarufu Kama Diddy alifanya mabadiliko Mara nyingi mpaka akawa imara na Star mkubwa alianza na Puffy Daddy akabadili akawa P.diddy akabadili tena akwa Diddy na hivi karibuni ameapa Mahakamani na kuongeza "Love".
Kwangu Mimi kugeukia CIVILIAN COIN nakuachana na DJ. DON NALIMISON sio dhambi na Wala sio kosa Bali Ni busara takatifu ya kutakasa mipango yangu.
Mabadiliko yote yatafanyikia Mahakama Kuu na Mahakama ya Kimataifa (ICC) na ndipo takuja kurekebisha Account yangu hapa JF.
Maana halisi ya jina Langu jipya CIVILIAN COIN Ni kutafuta Ushirikiano wa Kiraia baada ya kukosa Ushirikiano wa kimadaraka na Uongozi. Hivyo raia(Wananchi) ndio kampani yangu kuanzia Sasa.
Wasalaaam:
CIVILIAN COIN
29 DESEMBA 2021.
View attachment 2026990
Hili Ni jina la Kizalendo na Ni jina moja yaani Civilian Coin. Kwa kuyaandika Ni majina mawili lakini kimantiki Ni jina moja TU.Mtemi mpaka siku ya kwenda Jehanam, aisee utakuwa na majina zaidi ya 200 na ushee!! Yaani uki wagoogle tu ndugu zako wa damu wa Marekani, tayari na wewe unabadili jina!! 😁😁😁
Halafu hiyo namba 4 mbona umechapia? Ulikuwa ukifahamika kama Mwl Deo Kisandu wa Mkolani Sekondari! Baada ya kutoka jela kule Kitengule, ulibadili jina na kujiita DON NALIMISON!! Na baada ya hapo ndipo ukaja kwenye hili la sasa la DJ NALIMISON!
Na bado lile jina lako lingine la NALIMI CURTIS (Mtoto wa Mmarekani mweusi) baada tu ya kutuambia Mzee Kisandu wa Shinyanga siyo baba yako mzazi! Mweh!!! 🤔 Mtemi kiukweli unatuvuruga mashabiki wako!!! Sasa unataka tukutambue tena kama CIVILLIAN COIN!! Kwa hiyo baba yako mzazi sasa ni COIN, au!!
Aisee mi niko fit kabisa. Wagonjwa wapo.
anakwambia ICC anakwenda kubadili jina🤣 international criminal courtUCHAWI UPO
yupoYoutube kitambo mbona🤣 ana viewers kibao kuleHamia YouTube, viewers wa Jf Ni nonsense😅