Mungu wa Mbinguni atatujibia tuu.
Duh! Hii nchi haitaki viraka tena ni kuibomoa yote na kuijenga upya maana kila tunapoziba pengine panafumuka! Hata mzee wetu Dr slaa atachoka kutusaidia kuwataja ili sisi wananchi tuchukue hatua maana punguani wanaweza kudhani kawa Mtikila!Wakimaliza kuvuana magamba wataanza kuchuna ngozi wabakie na vidonda tu maana mwendo huu si salama kwa serikali hata kidogo.
huwa nawaambia kabla ya kutukana angalieni historia huyu balozi ndie mdhamini wa kwanza wakati chadema inaanzishwa see the records....
Huyu bwana baada ya haya yote ameitwa na kupewa cheo kikubwa sana ndani ya idara ya usalama wa taifa letu Tanzania .
Hebu soma hapa ni balozi analalamika kwa rais lakini rais huyo huyo anamwita na kumpa wadhifa mkubwa tena kwenye idara ya usalama wa Taifa.
unajua nchi hasa ktk utawala wa huyu Mkwerez, kua kiongozi si swala la sifa za kutukuka bali inategemea mahusiano yako na Mteuaji/rais. . . Full stop.Ungekuwa huu ni uwanja wa matusi huyu Mwanaidi Sinare Maajar leo angekufa kwa matusi ambayo ningempa! Huu ni upumbavu wa hali ya juu uliopitiliza kipimo!! Yaani mtu afanye uhalifu halafu serikali imlipie? Hana adabu kabisa na fikira zake zinawaza usawa wa pua yake. Jamani hii misukule inawezaje kufika mpaka ngazi kuwa mabalozi wakati bongo zao zimegandishwa kwenye ufisadi?? Nadhani hii barua ni vizuri ipelekwe kwa hao hao congress ili waona jinsi Afrika kulivyo na watu majuha!
Sioni tatizo la Barua ya Ushauri kutoka kwa Balozi Maajar........ni barua nzuri tu..........it is very clear and simple........Jaribuni kujiweka katika position ya Balozi........ndio pengine mtaelewa............
Huyu mama anaweza kuwa na mabaya yake lakini sio kwa barua hii............