kalwani
Member
- Apr 2, 2012
- 30
- 2
nunua modem ya voda ya zte k3571-z ipo poa ukishanunua download join air utatumia line yoyote
mkubwa iyo software ya join air nitapata wapi na ikoje
nunua modem ya voda ya zte k3571-z ipo poa ukishanunua download join air utatumia line yoyote
inaweza kuchakachua na modemu za tigo sasatel au zantel za huwawei?ingia brothersoft au C net.com au google freedownload ya join air,utaipata ni ka pogrm kadogo tu
samahani ni modemu ya aina gan n nzuri kwa matumizi ya laptop!
ingia brothersoft au C net.com au google freedownload ya join air,utaipata ni ka pogrm kadogo tu
ingia brothersoft au C net.com au google freedownload ya join air,utaipata ni ka pogrm kadogo tu
mpwa kama ulikuwepo,Airtel usijaribu ni zaidi ya presha, ni kimeo, 3.75 ni usanii mtupu!
nina modem za mitandao yote 5 (TTCL, zantel, sasatel, tigo, vodacom na airtel),TTCL ndio the best ever sababu hao tigo zantel vodacom Airtel sasatel wanachukua internet kutoka TTCL
Nunu universal modem bhana
mfano ni zipi mdau naomba kujuzwa majina ya hizo modem plizzzzzzzzzzzz