Gurta
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 2,234
- 531
Tangu tumepata hizi modems imekuwa tabu sana, ila tuvumiliane. Hakuna anayependa kubanwabanwa. Sio kwamba hazifanyi kazi; tunataka ziwe huru.
Tatizo:
Ku-unlock ZTE modems unahitaji kuondoa ISO iliyopo ili utumie ISO ambayo iko unlocked, na hii unlocked ISO unaisanikisha kwenye memory card. Sawa? Sasa zipo hizi modem Vodafone K3570-Z (ZTE) tatizo ni kuwa hazina sehemu ya kuweka memory card. Memory yake ni ROM kama inavyodai --- huwezi kufuta au kuandika chochote ndani yake.
Nikubali kushindwa?
Tatizo:
Ku-unlock ZTE modems unahitaji kuondoa ISO iliyopo ili utumie ISO ambayo iko unlocked, na hii unlocked ISO unaisanikisha kwenye memory card. Sawa? Sasa zipo hizi modem Vodafone K3570-Z (ZTE) tatizo ni kuwa hazina sehemu ya kuweka memory card. Memory yake ni ROM kama inavyodai --- huwezi kufuta au kuandika chochote ndani yake.
Nikubali kushindwa?