Msolopagazi
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 663
- 153
Jamani mie nashindwa kuelewa hawa mafisadi wa Vodacom yaani karibia miezi miwili sasa kila nikinunua bundle yaani baada ya dakika chache tu unaambiwa bundle yako imekwisha jaza hela tena.
Ukiweka ukianza kufungua Jamii forums hata hujafika kwenye topics unaambiwa your bundle is depleted. Hivi tatizo hili linawatokea hata nyinyi wana jamii au ni kwangu tu. Naomba mnijuze kibaya zaidi ukipiga simu customer care wanakwambia watatuma sms kwa kitengo cha ufundi, kibaya zaidi sijawahi kujibiwa hata siku moja.
Jamani huu si ni wizi wa mchana kweupe ndo maana nimeshindwa hata kupost kwa muda mrefu sana mpaka nafikiria kuuza modem yangu hata kuigawa ninue za mitandao mingine.
Ukiweka ukianza kufungua Jamii forums hata hujafika kwenye topics unaambiwa your bundle is depleted. Hivi tatizo hili linawatokea hata nyinyi wana jamii au ni kwangu tu. Naomba mnijuze kibaya zaidi ukipiga simu customer care wanakwambia watatuma sms kwa kitengo cha ufundi, kibaya zaidi sijawahi kujibiwa hata siku moja.
Jamani huu si ni wizi wa mchana kweupe ndo maana nimeshindwa hata kupost kwa muda mrefu sana mpaka nafikiria kuuza modem yangu hata kuigawa ninue za mitandao mingine.