Modem yangu ya tccl hataki ku-connect

Jayfour

Senior Member
Feb 20, 2011
114
11
Salaam! &lt;br /&gt;<br />
Nahitaji msaada wenu wakuu modem yangu ya ttcl inagoma ku connect kila ninapoichomeka inanipa message ''error 777: The connection attempt failed because the modem or other connecting device on the remote computer is out of order''&lt;br /&gt;<br />
Nilipowapelekea ofisini kwao waliijaribu na ikafanya kazi vizuri tu kama modems nyingine. &lt;br /&gt;<br />
Lakini nilipokwenda kuichomeka kwenye desktop ya ofisini kwangu iligoma na hata pc ya nyumbani ikagoma pia hadi hivi sasa.&lt;br /&gt;<br />
Naomba mwenye kujua shida hasa iko wapi anisaidie, natanguliza shukran.&lt;br /&gt;<br />
Modem ni ''huawei ec 122'' cdma, haina sim card ingawa ina sehemu ya kuweka sim card.
 
Chomoa Stick, Uninstall software ya modem (Dashboard whatever) ,restaret pc, chomeka stick, install upya.
Kama hiyo dashboard in sehemu ya kudownload updates fanya hivyo.
 
angalia kwenye internet settingz zako ipi umeweka kama default modem. mara nyingi unakuta imejiset kwenye agere kama default modem. kwaio weka hiyo yako kama default af tuambie umefikia wapi
 
Chomoa Stick, Uninstall software ya modem (Dashboard whatever) ,restaret pc, chomeka stick, install upya.<br />
Kama hiyo dashboard in sehemu ya kudownload updates fanya hivyo.
Nitajaribu kufanya hivyo umeme ukirudi saa tano usiku. Nashukuru.
 
angalia kwenye internet settingz zako ipi umeweka kama default modem. mara nyingi unakuta imejiset kwenye agere kama default modem. kwaio weka hiyo yako kama default af tuambie umefikia wapi
sawa, lakini kwa sasa umeme umekatika, natumia simu. nitafuatilia maelekezo yako mara umeme utakaporudi. Asante.
 
Chomoa Stick, Uninstall software ya modem (Dashboard whatever) ,restaret pc, chomeka stick, install upya.<br />
Kama hiyo dashboard in sehemu ya kudownload updates fanya hivyo.
nime-uninstall, restart na kuinstall upya. Hakuna sehamu ya kudownload updates. tatizo bado lipo. nimeweka ''ttcl modem 3g'' as default internet setting lakini bado.
Hapa kwenye dashboard sehemu ambayo huwa inaonesha signal ni plain na ile icon ya pc kuna alama ya x juu yake.
Modem yenyewe ina-blink rangi ya blue all the time na haijabadili rangi kuwa kijani kama zifanyavyo modems nyingine hata mara moja.
 
angalia kwenye internet settingz zako ipi umeweka kama default modem. mara nyingi unakuta imejiset kwenye agere kama default modem. kwaio weka hiyo yako kama default af tuambie umefikia wapi
nimefanya hiyo setting lakini bado.
 
Wakuu bado modem yangu haitaki kuconnect licha ya kufuata maelekezo yote niliyopewa hapo juu.
Msaada plz.
 
Nenda Kwenye device manager kupitia njia yoyote ile;

Angalizo : Modem yako iwe imeichomekwa.

Rightclick My Computer na bofya manage na utaiona device manager, ibofye na ione modem;
Bofya modem listed na ingia kwenye diagnostics na query modem,

Ikiitika, hakikisha username na password ziko sawa; na ina balance ya kutosha.

La sivyo hapa ndipo unaweza kufanya uninstallation kama zilivyo nukuliwa mwanzoni na siyo dashboard.
 
Nenda Kwenye <b>device manager</b> kupitia njia yoyote ile;<br />
<br />
<i><b>Angalizo </b>: Modem yako iwe imeichomekwa. </i><br />
<br />
Rightclick <b>My Computer</b> na bofya <b>manage</b> na utaiona <b>device manager, </b>ibofye na ione <b>modem</b>; <br />
Bofya modem listed na ingia kwenye <b>diagnostics </b>na <b>query modem, </b><br />
<br />
Ikiitika, hakikisha <b>username</b> na <b>password</b> ziko sawa; na ina balance ya kutosha. <br />
<br />
La sivyo <b>hapa</b> ndipo unaweza kufanya uninstallation kama zilivyo nukuliwa mwanzoni na siyo dashboard.
Asante, nitayafanyiakazi maelekezo haya pia.
 
@gomer, nimefuatialia maelekezo yako yote lakini sikufanikiwa. Nilijaribu pia kureinstall lakini bado imekataa. Kitu pekee kilichobadilika ni error message.
Sasa ni ''error 678: The remote computer did not respond''
Kwenye device manager inaonesha iko sawa. Na nimeshindwa kuweka salio la kutosha kwa sababu ya kushindwa kurespond.
@e2themiza, hiyo #777 ipo lakini bado matokeo ni yale yale.
 
Nenda kwenye settings hakikisha ziko sawa
1#777 ipo
2 073....@ttclmobile ipo
Password:ni namba zinazofuatia baada ya namba 4 za kwanza.
Kama yote unafanya na inakataa tazama window unayotumia kama ni window 7 au xp itakubali
 
Nenda kwenye settings hakikisha ziko sawa
1#777 ipo
2 073....@ttclmobile ipo
Password:ni namba zinazofuatia baada ya namba 4 za kwanza.
Kama yote unafanya na inakataa tazama window unayotumia kama ni window 7 au xp itakubali
nimeangalia setting, namba zote hizo zipo, nimefuta password na kuiandika tena upya yaani the last 6 digits. windows niitumiayo ni xp lakini bado imekataa, inaleta error sms #678: ''The remote computer did not respond''
 
Ingia Network Connections;

Chagua dialup icon yako;

Rightclick na chagua properties;

Kwenye General tab, bofya configure...;

kwa hardware features tick vibox viwili vya mwanzo na bofya OK;

tick show .... ;

kwenye security tab security options chagua typical na allow unsecure... bofya OK;

Angalizo : Hakikisha unapata signal za ttcll.
 
Ingia Network Connections;

Chagua dialup icon yako;

Rightclick na chagua properties;

Kwenye General tab, bofya configure...;

kwa hardware features tick vibox viwili vya mwanzo na bofya OK;

tick show .... ;

kwenye security tab security options chagua typical na allow unsecure... bofya OK;

Angalizo : Hakikisha unapata signal za ttcll.
nimefanya yote hayo, lakini bado. Hii modem sijawahi kuona signal. ile sehemu ambayo huonesha signal, hakuna kitu pale ni plain. tatizo kubwa ndio hilo la signal. Modems nyingine huonesha signals hata kama ni weak yaani edge, lakini hii haijawahi kudisplay signal ya aina yo yote licha ya kimulimuli cha kibluu kuwaka wakati wote.
Hata kuongeza salio nimeshindwa kwani hakuna kinachorespond. Inakuwa kama naongeza salio simu isiyokuwa kwenye coverage.
 
Connect kupitia network connection kwa kubofya ZTE Wire.... icon;

Model ya modem,OS, Location?
 
Simple solution: beba modem yako na laptop yako wapelekee ttcl wakutengenezee ukiwa unaona. Ikikataa wakupe nyingine. Kumbuka kubeba risiti kama walikupatia wakati unainunua.
 
Connect kupitia network connection kwa kubofya ZTE Wire.... icon;

Model ya modem,OS, Location?
hatimaye imekubali kwenye laptop! Nilichofanya nimetumia dashboard ya airtel. nilichomeka modem ya airtel huawei e153, na nikachomoa na kuchomeka ya ttcl. Sikuamini macho yangu nilipoona maandishi ''cdma'' pale kwenye sehemu ya kuonesha signal ambako siku zote palikuwa plain. Kwa kuwa hii imtokea kwenye d'board ya airttel, niliamua kurestart na kuclick icon ya ttcl. dashboard ya ttcl ikadisplay na yale maandishi ya ''cdma'' yakajitokeza kuashiria sasa signal inapatikana, na nilipojaribu kuconnect ikakubali.
Nakushukuru wewe na wote mlionisaidia katika kutatua tatizo hili. Nimejifunza mengi pia.
Modem ni ya ttcl, huawei ec 122; os ni windows xp; location: kigamboni-dar.
Asanteni sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom