Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,633
- 697,794
- Thread starter
- #201
Hii ishu kw akweli hutokea sana tena sanaaaaa yaani kuna watu hufia rasmi akiwa kaburini, nina wasiwasi mkubwa sana na jinsi madaktari wanavyopima aseee.
Sijawahi kuogopa movie, lakini hadi leo hii naogopa movie ya After Death, Liam ndio kacheza na hamna sijui madamu damu wala nini maneno tuuu ile movie naipenda kuifuta nogopa kuirudia naogopa iko iko tuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app