Moat, jukwaa la wahariri kama hawatakuwa makini. Wataliangamiza taifa kwa udini

Malaria Sugu

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
2,653
264
Jana nilikuwa naangalia star tv katika kipindi cha jicho la habari kwakeli Udini uliowajaa wale waandishi habari watz wanaweza kuliangalimiza taifa.
Licha ya wote kuwa washiriki ni waandishi wa habari lakini walioenakana kama ni wachungaji, mapadri ambapo na hawakushiriki kama waandishi wa habari.
Lakini hebu tuwe wakweli. magazeti kama Nipashe, jamboleo, habari leo na gazeti la Uhuru yanavyoandika habari ya waislam yaani utadhani kama magazeti ya KIONGOZI au gazeti la MSEMAKWELI.
tukiangalia hata habari ya Imam Faridi hadi inavyoripotiwa utekwaji hadi kuoenakana yaani sawa na zile habari za maskani za CCM na sio za wanahabari
 
Makafiri na manaswara wanajali dunia kuliko mungu. Hawa walimshabikia sana babu wa loliondo, mwishoe vifo vingapi? Magazeti ya udaku tu ndio yalilipoti
 
Back
Top Bottom