Egypt kuna Masikini na mafukara wengi kuliko makanisa.Ameshasaidia sana kaya maskini kuna mwaka mmoja kuna wezi waliiba nyumbani kwao lakini bahati nzuri walikamatwa Mo Salah akamwambia baba yake mzee ghayl Salah asiendelee na hiyo kesi badala yake akaenda kuwatoa wale wezi akawapa mtaji wa kutosha tu wafungue biashara kwa sharti la kuacha wizi..Hapo bado hatujazungumzia utitiri wa hospitali alizojenga huko kijijini kwao anapotokea
Angeelekeza nguvu huko