Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,328
- 2,283
Habari wana jamvi? Rejea kichwa cha uzi juu hapo.
Kwanza kabisa nampongeza kijana mwenetu kwa bidii katika kazi aliachiwa na babake, Mo anakuja vizuri sana katika kila bidhaa kiasi kwamba Azam anaweza kuomva poo muda wowote,amejipatia sifa kutokaba na kuboresha vile vilivyopo sokoni na hata kuviongezea ujazo zaidi. Shida imekuja tu hapa.
Kwa wale ambao tayari wamenunua au kuona kifungashio cha mafuta ya Mo safi washaona hili tatizo, kwanza sokoni ndio mafuta ya mwisho kuuzwa (yananunuliwa baada ya mengine kuisha)
Mifuniko ya mafuta haya tunaweza kusema hayana seal, mtu anaweza kufungua akapunguza, akachanganya na kitu kingine na kufunga upya bila kujulikana.
Mamlaka zinazohusika sijui kwanini hawaoni hatari hii.
Vipi mtu akifungua na kuweka sumu, atauwa wangapi?
FAIDA KWA MO YA KUDHIBITI JAMBO
Vipi mpinzani wake kibiashara anaamua kutumia njia hiyo kuchezea rafu? Serikali haijapiga marufuku hayo mafuta? Mambo mengine tusiangalie urahisi tu, angalia na jamii pia.
Kwanza kabisa nampongeza kijana mwenetu kwa bidii katika kazi aliachiwa na babake, Mo anakuja vizuri sana katika kila bidhaa kiasi kwamba Azam anaweza kuomva poo muda wowote,amejipatia sifa kutokaba na kuboresha vile vilivyopo sokoni na hata kuviongezea ujazo zaidi. Shida imekuja tu hapa.
Kwa wale ambao tayari wamenunua au kuona kifungashio cha mafuta ya Mo safi washaona hili tatizo, kwanza sokoni ndio mafuta ya mwisho kuuzwa (yananunuliwa baada ya mengine kuisha)
Mifuniko ya mafuta haya tunaweza kusema hayana seal, mtu anaweza kufungua akapunguza, akachanganya na kitu kingine na kufunga upya bila kujulikana.
Mamlaka zinazohusika sijui kwanini hawaoni hatari hii.
Vipi mtu akifungua na kuweka sumu, atauwa wangapi?
FAIDA KWA MO YA KUDHIBITI JAMBO
Vipi mpinzani wake kibiashara anaamua kutumia njia hiyo kuchezea rafu? Serikali haijapiga marufuku hayo mafuta? Mambo mengine tusiangalie urahisi tu, angalia na jamii pia.