Mo Mo Mo! nimekuita mara tatu

Ila mashabiki wa Tanzania tuna dunia yetu kwa hyo we unaona tungemsajili juma na aucho tungefika final caf champion's league
Ubaya wao wametolewa hatua ya mwanzo tena kwa kipigo cha nyumbani na ugenini
 
  • Thanks
Reactions: cmp
Labda mbeya kwanza jina ndo linakuchanganya lakini ni timu yenye wachezaji wazoefu sana na kama uliangalia mpira wa jana mtibwa hakucheza vizuri kabisa.
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
 
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Sasa mkuu mwisho wa msimu utafanyaje tathmini ya ushindi kama mechi za mwanzo hukufanya vzr?
 
swala la mo kuingilia maswala binafsi ya wachezaji ndio linamfanya watu wamuite mwamedi.chama hata hakuna na nia ya kuondoka ila kutokana a na uswahili wake Chama akaondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.

Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.

Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.

Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.

Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Jinga kabisa,mabasi ya kupewa utayauzaje
 
Kubali kuingia mkataba na Azam media upate pesa ya kusajili wachezaji wanaoeleweka au Tumieni zile 20B kununua wachezaji wanaoeleweka kwenye dirisha dogo na sio kuzidiwa kete na Yanga kwa wachezaji kama Aucho na Djuma.

Acha ubahili,uza uchafu wa mabasi yote,nunua basi moja la maana na Coaster ya Simba Queens.

Acha kuingilia maisha ya wachezaji kama ulivyoingilia maisha binafsi ya Chama hadi ukamkera na hakutaka kuendelea kubaki Simba.

Acheni kuwadanganya wapenzi wa Simba kuwa timu hii ni bora kuliko Simba ya mwaka jana,kwani sasa tumeiona wenyewe.
Waambieni kama mnaandaa timu ya kushinda vikombe miaka miwili baadae ili msiue watu kwa pressure.

Wachezaji wanaonekana hawana furaha,kuna nini kimetokea?
Unaweza kutoa mfano wa mchezaji hata mmoja mzuri kuliko walioko Simba waliosajiliwa kwa Pesa toka kwenye Mkataba wa Azam??
 
Mbeya kwanza wameshinda jana.ugenini je tuseme ni bora kuliko mtibwa..? Bado.mapema au costal union ni bora kuliko azam bado ni.mapema saana
Usiwachukulie poa Mbeya, wanakimbiza balaa. Kapigwa Prisoni, Mbeya City, Ihefu na Mtibwa.
Isiwachukulie poa, wana stamina ya kufa mtu.
 
Kutokucheza vzr kwa mtimbwa kwa mechi moja hatuwezi.kusema mtimbwa ni mbovu mwisho wa msimu ndipo tutafanya tadhmini.inayoonekana kulingana na point na msimamo.
Mtibwa msimu ulopita alikaribia kushuka daraja na bado hadi sasa timu inacheza haieleweki inatafuta nini kwanini watu wasiwe na wasiwasi kua yanaweza kujiridua ya msimu ulopita?
 
Mtibwa msimu ulopita alikaribia kushuka daraja na bado hadi sasa timu inacheza haieleweki inatafuta nini kwanini watu wasiwe na wasiwasi kua yanaweza kujiridua ya msimu ulopita?
Na huyo alie mfunga kapanda daraja au azam.kafungwa na Costal Union tuseme Costal union wapo njema zaidi.ya azam..?
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom