Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,929
- 7,268
Kabsa kuna viwanja havifai kile kimoja wapo pasi zinaenda nje ya mipango ya wachezaji na mpira una simama simama kila mara kutengeneza vibendera hii ligi.kuu inachangamoto.za kindondo cup.Kweli kabisa ule uwanja haufai kuchezea ligi kuu