MO Ibrahim Foundation- Tanzania yapanda kutoka nafasi ya 17 mpaka 14 - Utawala Bora Afrika

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
MO Ibrahim foundation imeipandisha serikali ya Tanzania kutoka nafasi ya 17 mpaka ya 14 katika masuala ya utawala bora barani africa, jumla ya nchi 54 zilifanyiwa utafiti.

Tanzania inakuwa nchi ya tatu africa ya mashariki baada ya Rwanda kushika nafasi ya 8 na Kenya kushika nafasi ya 11, nchi ya Uganda imeshika nafasi ya 20.

---------
Tanzania has climbed three positions in the overall rankings of the Mo Ibrahim Index of African Governance (IIAG) to 14th out of 54 African countries in 2018 edition from 17th in 2017.

A report released recently by the Mo Ibrahim Foundation shows that Tanzania has improved its overall index to 58.5/100 in 2018 from 57.5/100 recorded during the previous edition.

This is higher than the continental average score of 50.8/100 recorded in the 2018 edition and is also higher than an average of 49.9/100.

In the East African region, Tanzania was ranked third behind Rwanda which became 8th in Africa, followed by Kenya which ranked 11th and Uganda was behind Tanzania after being ranked 20th position while Burundi and South Sudan were on the bottom of the list.

The index shows that on safety and rule of law, Tanzania remained on 14th position during the period under review, with its score improving to 63.8/100 from 62.9/100 gained during the previous edition.

On the participation and human rights, Tanzania also remained on 16th position during the two consecutive years, with the score improved to 62.1/100 on 2018 edition from 61.5/100 attained in 2017 index.

Improvements were recorded on protecting against ethnic and religious discrimination, workplace gender equality and gender parity on school enrolments.

Minister in the Office of the President (Public Service and good Governance), Mr George Mkuchika, commented on the achievements, saying it is not the first time for Tanzania to achieve such a position.

“When you look at previous public opinions you will realise that we are better off on good governance,” he said in a telephone interview.

Mr Mkuchika said anti-corruption measures which are being carried out by the fifth phase government and promotion of rule of law have helped to improve governance.

However, the country’s index on freedom of association and assembly fell by 12.5 between 2008 and 2017 while freedom of expression went down by 13 per cent over the last one decade.

On sustainable economic opportunities, Tanzania has improved five positions to 14th on 2018 edition from 19th on 2017 edition.

Major improvements were recorded on civil registration, online public services, efficiency incustoms procedures, reliable energy, access to water and transport infrastructure.

In the human development index, which comprises of welfare, education and health, Tanzania climbed three positions to 24th in 2018 from 27th in 2017.

Major improvements of human development were recorded in promotion of socioeconomic integration of youth, human resources in primary school, satisfaction with narrowing income gaps, absence of child mortality and absence of communicable diseases. The index shows that Tanzania scored badly on public health campaign which fell by half between 2007-2018 followed by education quality by 16.7 per cent and primary school completion.

Mr Mo Ibrahim, chair of the Mo Ibrahim Foundation, said: “We welcome progress in Overall Governance, but the lost opportunity of the past decade is deeply concerning. Africa has a huge challenge ahead.

“Its large and youthful potential workforce could transform the continent for the better, but this opportunity is close to being squandered. The evidence is clear – young citizens of Africa need hope prospects and opportunities. Its leaders need to speed up job creation to sustain progress and stave off deterioration.”

The time to act is now.”

Source: Tanzania up in key governance index
 
Rubbish, all these are dictatorial regimes halafu eti utawala bora, nchi zinatawaliwa na brutal dictators halafu eti kuna tone la utawala bora! Ndio maana tuzo za kiafrika nobody honors them! Rubbish!
Hakuna mabadiliko yeyote ya kiuchumi yanayofanyika bila kuitwa Dikteta nenda kasome historia ya Rais wa kwanza wa Singapore aliyoyafanya katika kujenga uchumi wa nchi hiyo


Lee Kuan Yew. Known to be the man who transformed Singapore from a poor agrarian society into one of Asia's wealthiest nations, Lee Kuan Yew is often called a 'benevolent dictator
 
Rubbish, all these are dictatorial regimes halafu eti utawala bora, nchi zinatawaliwa na brutal dictators halafu eti kuna tone la utawala bora! Ndio maana tuzo za kiafrika nobody honors them! Rubbish!
Hahahaha. Ila ungesikia Tanzania imeporomoka ungesifu MO foundation na hiki ukichoandika ingeandikwa na mtu kama jingalao. JF raha sana .
 
MO Ibrahim foundation imeipandisha serikali ya Tanzania kutoka nafasi ya 17 mpaka ya 14 katika masuala ya utawala bora barani africa, jumla ya nchi 54 zilifanyiwa utafiti.
Tanzania inakuwa nchi ya tatu africa ya mashariki baada ya Rwanda kushika nafasi ya 8 na Kenya kushika nafasi ya 11, nchi ya Uganda imeshika nafasi ya 20.

Tanzania up in key governance index
Hao wanaoandaa hizi rankings wantakiwa wapimwe akili zao kama ziko sawa,
 
MO Ibrahim foundation imeipandisha serikali ya Tanzania kutoka nafasi ya 17 mpaka ya 14 katika masuala ya utawala bora barani africa, jumla ya nchi 54 zilifanyiwa utafiti.
Tanzania inakuwa nchi ya tatu africa ya mashariki baada ya Rwanda kushika nafasi ya 8 na Kenya kushika nafasi ya 11, nchi ya Uganda imeshika nafasi ya 20.

Tanzania up in key governance index
Acha kupiga mayowe acha wayaone wenyewe...Wapi Afande Sele?
 
Hakuna mabadiliko yeyote ya kiuchumi yanayofanyika bila kuitwa Dikteta nenda kasome historia ya Rais wa kwanza wa Singapore aliyoyafanya katika kujenga uchumi wa nchi hiyo


Lee Kuan Yew. Known to be the man who transformed Singapore from a poor agrarian society into one of Asia's wealthiest nations, Lee Kuan Yew is often called a 'benevolent dictator
Siku zote huwa mnatafuta vichaka vya kuhalalisha umafia wenu km iv...ingekuwa udikteta unasaidia congo ya mobutu seseko ingekuwa km england
 
Hakuna mabadiliko yeyote ya kiuchumi yanayofanyika bila kuitwa Dikteta nenda kasome historia ya Rais wa kwanza wa Singapore aliyoyafanya katika kujenga uchumi wa nchi hiyo
Hoja ya hovyo kabisa!

Btw, unaweza kutuambia hapa ni mabadiliko gani hayo ya kiuchumi yaliyofanyika kutokana na huo udikteta na unaweza kueleza tija iliyotokana kutokana na hayo mabadiliko?!

Au ni mabadiliko gani yaliyofanyika ambayo, endapo serikali ingekuwa inajali utawala bora na utawala wa sheria, basi mabadiliko hayo huenda yasingefanyika?!
 
Wapigao makelele,wengi wao,walikuwa tayari kuiuza nchi hii na kuiangamiza

Mwenye akili timamu,huwa si mpigaji kelele
Fanya kazi kwa bidii.Kwa ajili ya Taifa lako na nafsi yako
 
Wapigao makelele,wengi wao,walikuwa tayari kuiuza nchi hii na kuiangamiza

Mwenye akili timamu,huwa si mpigaji kelele
Fanya kazi kwa bidii.Kwa ajili ya Taifa lako na nafsi yako
Ni akina nani hao ambao walitaka kuiuza na kuiangamiza nchi?
 
Lissu na chadema na Maria sarungi wana hara tuu muda huu ni kupishana tuu kwenda msalani hahaha
 
Hakuna mabadiliko yeyote ya kiuchumi yanayofanyika bila kuitwa Dikteta nenda kasome historia ya Rais wa kwanza wa Singapore aliyoyafanya katika kujenga uchumi wa nchi hiyo


Lee Kuan Yew. Known to be the man who transformed Singapore from a poor agrarian society into one of Asia's wealthiest nations, Lee Kuan Yew is often called a 'benevolent dictator
Rubbish again!
 
MO Ibrahim foundation imeipandisha serikali ya Tanzania kutoka nafasi ya 17 mpaka ya 14 katika masuala ya utawala bora barani africa, jumla ya nchi 54 zilifanyiwa utafiti.

Tanzania inakuwa nchi ya tatu africa ya mashariki baada ya Rwanda kushika nafasi ya 8 na Kenya kushika nafasi ya 11, nchi ya Uganda imeshika nafasi ya 20.

---------
Tanzania has climbed three positions in the overall rankings of the Mo Ibrahim Index of African Governance (IIAG) to 14th out of 54 African countries in 2018 edition from 17th in 2017.

A report released recently by the Mo Ibrahim Foundation shows that Tanzania has improved its overall index to 58.5/100 in 2018 from 57.5/100 recorded during the previous edition.

This is higher than the continental average score of 50.8/100 recorded in the 2018 edition and is also higher than an average of 49.9/100.

In the East African region, Tanzania was ranked third behind Rwanda which became 8th in Africa, followed by Kenya which ranked 11th and Uganda was behind Tanzania after being ranked 20th position while Burundi and South Sudan were on the bottom of the list.

The index shows that on safety and rule of law, Tanzania remained on 14th position during the period under review, with its score improving to 63.8/100 from 62.9/100 gained during the previous edition.

On the participation and human rights, Tanzania also remained on 16th position during the two consecutive years, with the score improved to 62.1/100 on 2018 edition from 61.5/100 attained in 2017 index.

Improvements were recorded on protecting against ethnic and religious discrimination, workplace gender equality and gender parity on school enrolments.

Minister in the Office of the President (Public Service and good Governance), Mr George Mkuchika, commented on the achievements, saying it is not the first time for Tanzania to achieve such a position.

“When you look at previous public opinions you will realise that we are better off on good governance,” he said in a telephone interview.

Mr Mkuchika said anti-corruption measures which are being carried out by the fifth phase government and promotion of rule of law have helped to improve governance.

However, the country’s index on freedom of association and assembly fell by 12.5 between 2008 and 2017 while freedom of expression went down by 13 per cent over the last one decade.

On sustainable economic opportunities, Tanzania has improved five positions to 14th on 2018 edition from 19th on 2017 edition.

Major improvements were recorded on civil registration, online public services, efficiency incustoms procedures, reliable energy, access to water and transport infrastructure.

In the human development index, which comprises of welfare, education and health, Tanzania climbed three positions to 24th in 2018 from 27th in 2017.

Major improvements of human development were recorded in promotion of socioeconomic integration of youth, human resources in primary school, satisfaction with narrowing income gaps, absence of child mortality and absence of communicable diseases. The index shows that Tanzania scored badly on public health campaign which fell by half between 2007-2018 followed by education quality by 16.7 per cent and primary school completion.

Mr Mo Ibrahim, chair of the Mo Ibrahim Foundation, said: “We welcome progress in Overall Governance, but the lost opportunity of the past decade is deeply concerning. Africa has a huge challenge ahead.

“Its large and youthful potential workforce could transform the continent for the better, but this opportunity is close to being squandered. The evidence is clear – young citizens of Africa need hope prospects and opportunities. Its leaders need to speed up job creation to sustain progress and stave off deterioration.”

The time to act is now.”

Source: Tanzania up in key governance index
Msiba mkubwa sana kwa wanaufipa
 
Back
Top Bottom