MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Yaani GSM kuwa tu Co Sponsor wa NBC Premier League kwa Kuweka hiyo 2.1 Billion Tsh mliyodunduliza ndiyo Msemaji wenu Boya na Injinia Hersi Said wanatamba na kujiona wameweza, wametuweza na kuyapatia Maisha?
Kudadadeki zenu sasa mmemchokoza Tajiri Mo Dewji ambapo Ijumaa hii anaenda Kudhamini Ligi Kuu ( nae kuwa Co Sponsor ) kwa kuweka 3 Billion Tsh kwa Bidhaa yake ya MO 29.
Mmemchokoza sasa mtamjua Tajiri MO.
Kudadadeki zenu sasa mmemchokoza Tajiri Mo Dewji ambapo Ijumaa hii anaenda Kudhamini Ligi Kuu ( nae kuwa Co Sponsor ) kwa kuweka 3 Billion Tsh kwa Bidhaa yake ya MO 29.
Mmemchokoza sasa mtamjua Tajiri MO.