NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 11,714
- 11,810
Aje sasa na uchumi wenyewe umeshikiliwa na Waarabu na Wahindi?Tanzania ndo ya Kwanza kwa uchumi jumuishi afrika
Aje sasa na uchumi wenyewe umeshikiliwa na Waarabu na Wahindi?Tanzania ndo ya Kwanza kwa uchumi jumuishi afrika
Hayuko peke yake.Vipi kuhusu elon musk, merekani
Hili ni somo pana na lilitolewa humu jamviniHivi Bakhresa sio tajiri kivile? Mbona ana Asset nyingi kuliko Mo Dewji?
Ni ngumu kuficha ukishakuwa na pesa nyingiBinafsi mi hua naona ni kama wanakipeleka au kuna namna ya kufanya ili mtu utambuliwe,lakini wako watu hata kwenye orodha ya nchi hawaoni isipokua wana pesa nyingi na vitega uchumi lukuki lakini wapo kimya tu