Elitwege
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 5,154
- 10,809
Mfanyabiashara kutoka Tanzania Mohammed Dewji ametangazwa kuwa anashika nafasi ya 13 kwa utajiri barani Afrika.! Mfanyabiashara huyo baada ya kupata habari hizo amekimbilia kumshukuru rais Magufuli kwa kuweka mazingira bora ya uwekezaji hapa nchini na kupelekea uwekezaji na utajiri wake kuongezeka maradufu kwa miaka mitano iliyopita..
Ili kuendelea kuunga mkono juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania, Mo Dewji ameahidi kumwaga ajira 100,000 kwa watanzania kuanzia mwaka huu 2021.
My take.
Hii ina maana gani kwa chadema wanaokesha wakipinga kila kitu kinachofanywa na rais Magufuli?
Ili kuendelea kuunga mkono juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania, Mo Dewji ameahidi kumwaga ajira 100,000 kwa watanzania kuanzia mwaka huu 2021.
My take.
Hii ina maana gani kwa chadema wanaokesha wakipinga kila kitu kinachofanywa na rais Magufuli?