Mo Dewji awa billionea wa 13 Afrika, kumwaga ajira laki moja, amshukuru Rais Magufuli

Elitwege

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
5,154
10,809
Mfanyabiashara kutoka Tanzania Mohammed Dewji ametangazwa kuwa anashika nafasi ya 13 kwa utajiri barani Afrika.! Mfanyabiashara huyo baada ya kupata habari hizo amekimbilia kumshukuru rais Magufuli kwa kuweka mazingira bora ya uwekezaji hapa nchini na kupelekea uwekezaji na utajiri wake kuongezeka maradufu kwa miaka mitano iliyopita..
Ili kuendelea kuunga mkono juhudi za rais Magufuli katika kuwaletea maendeleo watanzania, Mo Dewji ameahidi kumwaga ajira 100,000 kwa watanzania kuanzia mwaka huu 2021.

My take.
Hii ina maana gani kwa chadema wanaokesha wakipinga kila kitu kinachofanywa na rais Magufuli?
IMG_20210124_201911.jpg
 
Atawale Milele Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania. Ndiyo Ukweli Wenyewe!!!
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜…πŸ˜„πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Tumeliwa Sana Ndugu Zangu
 
Analipaje kiwango cha mshahara watanzania ?
Hebu tuweke itapendeza sana

Ova
 
Huyu Mo Mungu aendelee kumfariji maana faida za uwekezaji wake ni nyingi saaaana. Chukulia Hii Simba Super Cup inayokuja itawapa ajira wajasilia mali wangapi? Mfikirie Muuza maji, mfikirie muuza njugu kipindi michuano inaendelea, Embu wafikirie wenye Daladala watakaoleta mashabiki pale kwa Mkapa..! Mungu ampe yeye na Familia yake Afya njema..!
 
Ajira laki moja? ckuiz kupata kazi kiwandan mpk uwe na koneksheni bila ivyo utasota.
Kingine ni mshahara wa laki mpk laki na nusu kazi zenyenyewe ni za suruba anyway tungoje tuone.
 
Back
Top Bottom