MO Dewji aomba msamaha sakata la kutekwa kwake

Aliniudhi sana siku yetu ya Simba Day eti Ma......fuli hoyeeeee! Japo ni mfadhili wa timu yangu nilimdharau siku ile hadi leo! Atambua kuwa kelele za akina Lema, Zitto na watu wa mitandaoni ndizo ziliwashtua wasiojulikana hadi kumwachia na kunywa naye chai.
MI MWENYEWE shabiki wa Simba ila jamaa zwazwa kweli, yani linashindwa kuwa kama wenzake, alafu limesoma HAVARD MAREKANI, lakini limeingia praise team, magu anahusika vip na simba, wakati walimt ...pale colosium
 
MI MWENYEWE shabiki wa Simba ila jamaa zwazwa kweli, yani linashindwa kuwa kama wenzake, alafu limesoma HAVARD MAREKANI, lakini limeingia praise team, magu anahusika vip na simba, wakati walimt ...pale colosium
Hahahaa...... Kasoma na mtemi Chenge!!
 
huja

elewa kitu mgosi.

MO, hiyo jana ali-tweet kwamba, "shirika la umoja wa mataifa la mazingira" UNEP imepitisha na kubariki mradi wa bwawa lwa umeme la STIGLERS GORGE, kitu ambacho kigogo2014 baada ya muda mfupi ali kire-tweet akamwambia mo amekuwa mwongo na anajipendekeza, na anasahau watu wa mitandaoni ndio walimuokoa maana alikuwa akapigwe "paip"
baada ya mda mfupi, UNEP makao makuu yapo nairobi, wakainyaka, wakajibu na kusema hawajabariki huo mradi na wala hawatakaa kuubariki maana unaharibu sana mazingira.

MO ndio kujikosha akaanza kumuomba Maria Sarungi msamaha.

hii nchiina wanafki sana, haka kajamaa kalitekwa na waliomteka na kukaa naye siku zaidi ya nne kanawajua alafu kanawasifia tena, njaa kama za makonda tunaelew, ila MO una njaa gani mdogo wangu?
Ka hypicrite .kiboko yake mzee Kilomoni
 
Back
Top Bottom