Kobaba
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 492
- 341
Wewe ongea tu. Sisi Simba kupitia MO tunamsaka Benerd Morisson kwa gharama yoyote tuondoe hiyo kiburi yenu mlonayo. Huyu jamaa amefanya makubwa Orlando Pirates. Tunataka aje kushirikiana na Chama kuonesha maujuzi.Mimi nahitaji hirizi Kama ya kagere