M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,019
.......baada ya kupigwa mkwara na Bashite!!“Kilichotokea kwenye akaunti zangu jana kilikuwa ni bahati mbaya, tuko pamoja, tunarudi kwenye ligi tukiwa na nguvu , tunajipanga kwa ajili ya ligi, nawapongeza Mtibwa kwa kuchukua kombe, mimi ni Simba damudamu, nitabaki kuwa Simba" - MO DEWJI
Sent using Jamii Forums mobile app