venance7
JF-Expert Member
- May 15, 2019
- 554
- 1,636
Muda mfupi baada ya Simba kupoteza fainali ya kombe la mapinduzi dhidi ya Mtibwa, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba ametangaza kujiuzulu katika nafasi hiyo na kubaki kuwa mwekezaji tu.
======
UPDATES:
========
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema kilichotokea Jana kwenye account yake ni bahati mbaya, na wanajipanga kwaajili ya ligi na atabaki Kuwa Simba, pia kawapongeza timu ya Mtibwa kwa kuchukua kombe.
"Kilichotokea kwenye ukurasa wangu jana ni bahati mbaya. Tuko pamoja, tunarejea kwenye kwa nguvu kwenye ligi, tunajipanga kwa ajili ya ligi. Nawapongeza Mtibwa kwa kuchukuwa kombe. Mimi ni SIMBA damu damu. Nitabaki kuwa SIMBA
======
UPDATES:
========
Mwenyekiti wa Bodi ya Simba, Mohammed Dewji kupitia ukurasa wake wa Twitter amesema kilichotokea Jana kwenye account yake ni bahati mbaya, na wanajipanga kwaajili ya ligi na atabaki Kuwa Simba, pia kawapongeza timu ya Mtibwa kwa kuchukua kombe.
"Kilichotokea kwenye ukurasa wangu jana ni bahati mbaya. Tuko pamoja, tunarejea kwenye kwa nguvu kwenye ligi, tunajipanga kwa ajili ya ligi. Nawapongeza Mtibwa kwa kuchukuwa kombe. Mimi ni SIMBA damu damu. Nitabaki kuwa SIMBA