Kigwiza
Member
- Jul 13, 2020
- 24
- 15
Huu unafiki mkubwa..
Alikuepo hai wakati serikali inatafuta jina..
Iliwahi pendekezwa jina la Mkapa ..watu
Wakajibu Kwa kashfa sana..
Sasa keshakufa ndo muanze kumpa jina
Hata hatajua kumbe mlimpa heshima hiyo..
Huu ni unafiki mkubwa
Nimeeelewa sna ulichosema mkuu wangekua na nia ya dhati wangefanya hivyo kabla ss amtu amexha kwenda inaxaidia nn ss