John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
Basi kwa Taarifa yenu Tundu Lissu atatoa Tsh 100,000 kwa kila Mwalimu kwa Walimu 808! Subirini
Napinga Waalimu kupewa hiyo hela kwasababu zifuatazo:wengi wenu muna donge na wivu kwa kuwa hamkupata nyie inawauma sana hongera muheshimiwa Dewji kwa moyo wako wa kizalendo hio si rushwa na umeoneshga ubinadamu zaidi maana naamini hakuna aliewapa nauli ya kuja kwenye huo mkutano,hakuna,wewe ni zaidi ya binaadamu wengi waliokoment humu wana chuki kwa kuwa wawapendao hawana uwezo wa huo na moyo huo hongera sana Muheshimiwa Dewj mungu akuzidishie ulipopunguza akupe zaidi na zaidi inshaallah
Akifanya hivyo nae atastahili kuzomewa. Kutoa fedha once in a while hakuwezi kumletea anaepewa hizo fedha mabadiliko ya kweli!Basi kwa Taarifa yenu Tundu Lissu atatoa Tsh 100,000 kwa kila Mwalimu kwa Walimu 808! Subirini
Hivi nani angekataa hizo pesa kati yenu nyie mnaotoa maneno mengi kabla ya kuanza kuuzungumzia uhalali wake? Halafu Mh Zitto yeye anataka kupeleka pesa yake ya posho jimboni, ile sio rushwa? Inawezekana na yeye MO ni pesa yake ya posho ila yeye kaamua kugawa kwa walimu, kuna shida hapo? Jamani hivi siku hizi hata ukitaka kumsaidia mtu ni rushwa? Hawa waalimu hebu angalieni walivyochanganyikiwa na hiyo Tsh 50,000, hivi wakipewa angalau wakaendeleze miradi yao ya kilimo ni tatizo?
...anajaribu kupinga kauli ya "bosi wake" wa zamani (Mzee Mkapa) kwa kuonyesha kwamba yeye kama mbunge atawaendeleza walimu na sio hiyo mishahara yao. Sasa hicho ndicho kilimpeleka bungeni kweli???? (kugawa pesa au kutetea pesa zinazotolewa na serikari kuelekea huko ziwafikie salama?). ...lakini nimeona kwenye thread moja hapa Mh. MO anatuhumiwa na 'mambo fulani fulani', amshajibu!?pongezi kwa MO kutoa hiyo milioni 40
lakini tatizo ni je hii ndio njia ya kutatua matatizo ya au ndio kawanyamazisha hao
walimu kwa hiyo milioni 40?
this is just power of money apigane walipwe vizuri sio kuweka gundi mdomo anapokuja kwa walala hoi anawanunua kwa pesa wanayompa kupitia posha na msharaha mnono hali matatizo yanaendelea
mimi naichukulia hii kama uwekezaji kwa MO kuliko kwa walimu
Naona umeandika kwa hasira saana. Well double standard bado ipo tu hata ukigeuza kiswahili. Mmoja ametoa kwenye group na mwingine kwa individuals, na wote wametoa pesa. Sasa kipimo cha maendeleo, ni objective. Na kwa kuzingatia hali ya walimu wengi huenda mwingine hapo anakwenda kumlipia ada mwanae au hata matibabu. Hivi hayo sio maendeleo? Sasa tafsiri ya rushwa nayo ni pana, hivi ametoa in exchange of what? Kwahiyo siku hizi marufuku kusaidia?Pesa yake ya Posho (40million)! we kweli umelala
Zito pia amekwambia anataka kupereka kugawia watu kama karanga!? au amekwambia anataka kuwekeza katika maendeleo ya Jimbo lake! Ukumbuke kuwa hatulaum bila kufiri kama unavyodhania na kufanya wewe, kama MO angewekeza hizo fedha katika maslahi mapana ya maendeleo ya Waalimu kwa maana ya halisi ya waalimu hakuna jinsi hayo maendeleo yange kuwa na sura na Rushwa lakini kuita watu na kuwagawia fedha ni Rushwa dhahiri labda kama unahoji kuwa nani anaujasiri wa kukataa Rushwa hiyo ipo wazi angalia hizo picha, idadi na aina ya washiriki utagunguwa kuwa si wote walienda kujidhalilisha katika hilo tukio (Sura zinazoonekana hapo ni za Wazee siamini kuwa hakuna waalimu vijana huko singida, wapo na tunawajuwa) ambao hawakufika hapo hii ina maana walikuwa na ujasiri wa kukataa hiyo rushwa ya Tsh.50,000.00 maana huo si mwisho wa matatizo bali ni mwanzo wa kujifunga mnyororo wa utumwa kwa MO.
Hapa ndipo kwenye tatizo ambalo tunataka liondoke hapa Tanzania, kuwafanya watu maskini kwa makusudi hili kuwatayarisha kukubali lolote pale wanaposikia harufu ya noti! Umaskini ni mbaya tunataka uondoke haraka sana na hawa wakina MO hawataki umaskini uishe kwasababu watakosa watumwa, umaskini ndio chanzo cha matatizo yote, MO ana anapashwa kuhojiwa na TAKUKURU katika hili jambo.
Naona umeandika kwa hasira saana. Well double standard bado ipo tu hata ukigeuza kiswahili. Mmoja ametoa kwenye group na mwingine kwa individuals, na wote wametoa pesa. Sasa kipimo cha maendeleo, ni objective. Na kwa kuzingatia hali ya walimu wengi huenda mwingine hapo anakwenda kumlipia ada mwanae au hata matibabu. Hivi hayo sio maendeleo? Sasa tafsiri ya rushwa nayo ni pana, hivi ametoa in exchange of what? Kwahiyo siku hizi marufuku kusaidia?
Kwenye hizo picha huoni vijana? Unatumia miwani au unaona kawaida? MO amechangia miradi mingi saana huko Singida kwahilo ninamtetea labda tuongeze chumvi ya propaganda ya vyama.
yepi madawa ya kulevya mbona unatutega...anajaribu kupinga kauli ya "bosi wake" wa zamani (Mzee Mkapa) kwa kuonyesha kwamba yeye kama mbunge atawaendeleza walimu na sio hiyo mishahara yao. Sasa hicho ndicho kilimpeleka bungeni kweli???? (kugawa pesa au kutetea pesa zinazotolewa na serikari kuelekea huko ziwafikie salama?). ...lakini nimeona kwenye thread moja hapa Mh. MO anatuhumiwa na 'mambo fulani fulani', amshajibu!?